• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Historia


Mbulu is a town in Tanzania and the capital of the Mbulu District. The town is inhabited by people that identify as Iraqw people. The Roman Catholic Diocese of Mbulu is also located in Mbulu.

Mbulu also (known as Imboru among the Iraqw speakers) is the town in Northern Tanzania. The town is the core of minority cushitic speakers (iraqw people) in Tanzania. The town was founded by Germans in 1907 when they colonizes former German East Africa (Tanganyika, Burundi and Rwanda). Mbulu climate favoured Germans, also the hospitality of the indigenous favoured them. Germans were less harsh to the Iraqw people than the rest Tanganyikans. Thus Iraqw were used by Germans on white collar jobs. Today most Afro-German with Tanzanian ancestry are Iraqw from Mbulu. The main economic activities in Mbulu are Agriculture and Trade. Mbulu area is one of the earliest Wheat growing Plantations. During the British regime, Mbulu peasants were able to form trade union, Particularly Mbulu Wheat Growers association (1923). Most Famous people born in Mbulu are:

  • Herman Sarwatt- The first Non-TANU representative in Independent Tanzania.
  • Dr. Wilbroad Slaa - Chadema's presidential candidate who came the second in 2010 Tanzania General Election.
  • Filbert Bay Sanka - Merlbourne 1971 Gold Medal winner Athlete.
  • Philip Marmo Sanka - Former Tanzania ambassador, in Beijing China

RAMANI YA WILAYA YA MBULU KUOYESHA MIPAKA TUNAYOPAKANA NAYO.







CHIMBUKO LA WAIRAQ!
 WAIRAQ au Wairaki ni kabila kubwa
 linalozungumza lugha jamii ya Wakushi na
 linalopatikana Mkoa wa Manyara wilaya za
 Mbulu, Babati, Hanang na Mkoa wa Arusha
 katika wilaya ya Karatu.
 Watu wa kabila hilo wanauhusiano wa asili na
 makabila ya Gorowa, Burungi na Alawa ambao
 wanaishi katika wilaya za Babati na Kondoa.
 Historia kwa njia ya simulizi za makabila inasema
 chimbuko la Wairaqw linatokana na kizazi cha
 watu wa kale walivyokuwa wakiishi eneo la
 Mesopotamia, Iraq.
 Vita ya mara kwa mara ilisababisha watu hao
 kuhama makazi yao ya asili katika karne ya nne
 hadi ya sita baada ya kuzaliwa kwa Kristo.
 Wairaqw walivuka bahari ya Sham kwa mashua
 na kutua Ethiopia ambako waliishi kwa muda
 kisha kuendelea kuhama kuelekea Kusini
 Magharibi kupitia bonde la ufa kando ya Ziwa
 Victoria na kuweka kambi eneo waliloona ni
 salama.
 Kwa kuwa ni watu wasiopenda vita waliendelea
 kuhamahama wakikimbia vita vilivyoruka sehemu
 mbalimbali walizojaribu kuweka kambi. Walipita
 njia ya kati kupitia Iramba Mkoa wa Singida
 Iramba hadi mpakani mwa Dodoma na Iringa
 ambapo walikutana na mapambano ya Wahehe,
 Wangoni na Wazimba.
 Hali hiyo iliwalazimu kubadilisha njia na kurejea
 kuelekea Kaskazini hadi sehemu ya Kondoa
 mahali panapoitwa Guser Tuwalay na kuishi eneo
 hilo huku wakijishughulisha na ufugaji na kilimo
 kidogo. Hata hivyo ilitokea kutokuelewana kati
 yao na watu wa kabila la Wabarbaig jambo
 lililosababisha vita.
 Ingawa walikuwa waoga wa vita walikuwa na
 silaha za kujihami dhidi ya vita. Walitumia mikuki
 na mishale ya asili ilitengenezwa na miti
 iliyochongwa mfano wa mkuki wa chuma
 unaotumika sasa. Pia walitumia mawe yenye
 ncha kali na baadaye waligundua zana
 zinazotengenezwa kwa kutumia udongo wa
 mfinyanzi ambazo zilikaushwa kwa moto mkali
 kama tofali.
 Hata hivyo Wairaq walishindwa vita na kukimbilia
 karibu na mlima Hanang kisha wakagawanyika
 wengine wakaelekea mlima Dabil hadi Guser na
 Gangaru ambapo walifanya maskani. Wairaq
 walikuwa na uongozi toka ngazi ya familia, ukoo,






Image may contain: 4 people, people standing and outdoor




ASILI YA JINA LA MBULU

Image may contain: one or more people and hat Image may contain: sky and outdoor Image may contain: one or more people, horse and outdoorAlfredo is with Philomena Buxay and 13 others.January 19

NINI ASILI YA JINA MBULU? IJUE HISTORIA YA JINA MBULU SASA!

 Wakati Wairaqw wakiwa bado wanakaa ``Irqwar Da/aw`` yaani bado hata hawajaanza kuhamia maeneo ya Mbulu, kuna binti alikuwa anaitwa Imbori alipata mimba yaani Doroway. 

 Doroway ilikuwa inaleta unajisi ``meeta`` kwenye familia husika na katu binti hakuruhusiwa kuzaa nyumbani na hawezi kuolewa na Mwiraqw yeyote, hivyo ilibidi Imbori afukuzwe kwao salama yake ni aolewe na mtu wa kabila lingine yaani ``homo`` ambao mara nyingi ni wadatoga au wambugwe.

  Lakini kulikuwa na taratibu za kufuata na ilikuwa hivyo pia kwa Imbori. Alipobainika anamimba, Imbori alinyolewa nywele na kupakwa majivu kichwani ikiwa ni utambulisho kuwa ana``doroway`` alipfungashiwa chakula ambacho mara nyingi huwa viazi au mahindi ya kuchoma (haya yalikwepo muda wote kutokana na hali ya hewa ya Irqwar Da/aw) na kuongozwa na kaka yake aliyekuwa anatembea mbele yake ili amkabidhi kwa ``homo`` yeyote atakayejitokeza kama anataka mke au chakula kikiisha afie hukohuko porini au aliwe na wanyama.

  Wakafika sehemu inayoitwa Mantla ambapo ni njia panda moja inaelekea Murray na nyingine Kainam na kwa kuwa Nade Be/a ambaye ni mganga maarufu kutoka Manda do Bayo alikuwa anakaa Murray hawakuthubutu kupitia njia hiyo maarufu kama ``tlo/u /awaak`` ambayo pia ilikuwa njia ya wamasai waliokuwa tishio kwa wairaqw hivyo wakapita njia ya Kainam hadi Aya Ma/ami ambako alifanikiwa kumpata ``homo`` aliyemwoa akaondoka naye hadi Mbulu.

  Alipokwisha kuolewa ile ``meeta`` ikaisha na ndipo ndugu zake (pengine hata yeye mwenyewe baadaye) kumfuatilia kwa njia aliyofuatana na huyo mume wake na kufanikiwa kumpata na hatimaye kumtembelea mara kwa mara. 

 Katika kumtembelea huko, walikuwa wakisema tunaenda kwa Imbori ``do imboru kawaan``na hatimaye pakawa maarufu kama kwa Imboru na hatimaye Imboru. 

 Wajerumani walipofika wakashindwa kutamka Imboru wakawa wanasema Mbulu na ndipo hatimaye jina Mbulu likawa ``official``
 Ahsanteni!







Matangazo

  • MATOKEO YA MTIHANI WA DARASA LA SABA 2022 HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU December 01, 2022
  • MAADHIMISHO YA SIKUKUU YA WANAWAKE DUNIANI TAREHE 08.03.2023 March 06, 2023
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • Maadhimisho ya Sikukuu ya Wanawake Duniani Yafana Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Tarehe 08.03.2023

    March 09, 2023
  • Maadhimisho ya siku ya afya na Lishe Halmashauri ya Wilayani Mbulu.

    March 01, 2023
  • Kikundi cha Tupendane cha furahia mkopo wa Pikipiki toka Halmshauri ya Wilaya Mbulu.

    February 27, 2023
  • Wananchi wa Masqaroda washiriki katika Ujenzi wa Josho

    February 24, 2023
  • Tazama zote

Picha Jongefu

GARI LA MIZIGO LA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.