• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Hatima ya Ujenzi Wa Makao Makuu Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu yaamuliwa na Baraza la Madiwani

Kurushwa hewani: March 9th, 2018

Mbulu.

Na mwandishi wetu

Baraza la madiwani Halamshauri ya Wilaya ya Mbulu mkoani manyara leo 09.03.2018 limepitisha ujenzi wa makao makuu ya halamshauri ya Wilaya hiyo kujengwa Dongobesh tofauti na mapendekezo ya Mkuu wa mkoa wa Manyara ya kujengwa Haydom.

Wajumbe wa Baraza Maalum la Madiwani wakisoma kwa makini mada inayowasilishwa.

Hayo yamejiri katika kikao cha baraza la madiwani wa halmashauri hiyo kikao maalumu kilichoitishwa kwa ajili ya kujadili Agenda kuu mbili ambazo ni eneo la kujenga makao makuu ya halmashauri nay a pili ni kujadili maombi ya mwekezaji kijiji cha Eshkesh Wilayani Mbulu.

Mwenyekiti wa halmashauri hiyo bwana Joseph Mandoo , aliomba muongozo wa kisheria ili kutoa maamuzi baada ya baraza kujadila kwa muda mrefu na hatimaye ikaamuliwa kupigwa kura ya siri ili kuamua ujenzi wa makao makuu ya halmashauri hiyo.

 

Timu ya wataalam wa Halmashauri ikifuatilia mjadala ukumbini

 

Madiwani waliopiga kura jumala walikuwa 23 na kura halali zilizopigwa zilikuwa 23, kati ya kura hizo(17) zimependekezwa Makao Makuu kujengwa dongobesh na kura (6) walipendekeza ujenzi uwe Haydom.

 

Awali akitoa maelezo kwanini makao makuu yajengwe Haydom mkuu wa wilaya ya Mbulu bwana Chelestino Mofuga amesema Haydom miundo mbinu yake iko vizuri lakini madiwani kwa upande wao wamesisitiza kuwa yajengwe Dongobesh kwa kupitia michango mbalimbali waliyoitoa na hatimaye kura kuamua.

 



Meza kuu ikisikiliza maoni toka kwa wajumbe wa baraza.

 

Hayo yamejiri baada ya mkuu wa mkoa wa manyara Bwana Alexanda Mnyeti kufanya ziara Wilayani humo na kupendekeza makao makuu ya halmashauri ya wilaya yajengea Haydom nakuwataka madiwani kujadili upya mchakato huo na kutoa mapendekezo. 


Katibu wa kikao na mwanasheria wakishauriana jambo

 



Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.