• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA SIASA YA WILAYA YA MBULU YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BIL. 1.5

Kurushwa hewani: May 27th, 2024

Na, Ruth Kyelula, Mbulu – DC.

Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Mbulu, Komredi Melkiadi Naari, ameongoza kamati ya siasa ya Wilaya na kukagua miradi ya maendeleo yenye thamani ya Bilioni 1,547,950,000/=.

Kamati ya siasa Wilaya wakiwa kwenye ukaguzi wa daraja Garkawe Maretadu.

Ziara hiyo ilifanyika May 25, 2024, na kupita katika mradi wa Daraja la Garkawe lenye thamani ya sh.470,950,000/= na kukagua ujenzi wa wodi tatu na vifaa tiba katika hospitali ya Wilaya yenye thamani ya Bilioni 1,100,000,000/=.

Mwenyekiti Comredi Naari alimpongeza Mhandisi Nuru Hondo kwa usimamizi mzuri wa ujenzi wa daraja la Garkawe, na kuahidi watamtunuku cheti cha mfanyakazi bora.

“Najua umefanya kazi na Mkurugenzi mtendaji, Mkurugenzi nawe tunakushukuru kwa niaba ya watendaji wenzako wa halmashauri, madiwani na ofisi yetu ya DC nayo tunaishukuru, mana bila ninyi bwana Nuru asingeweza kuvuka.” Alisema Comredi Naari.

Aidha Comredi Naari amekazia ushirikiano baina ya vyombo vitatu, Wananchi, Halmashauri, Chama na Serikali yake, na kuomba ushirikiano uwepo. Pia alisisitiza ushirikishwaji wa wananchi kwenye miradi ya maendeleo na wao kushiriki kutoa nguvu kazi zao kwenye miradi hiyo ili kupunguza matumizi ya fedha ambayo ingeweza kusaidia kazi zingine.

Kamati ya siasa Wilaya ya Mbulu wakiwa kwenye ukaguzi katika hospitali ya Wilaya 

Kwa upande wa Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Veronica Kessy, amesema kuwa wahandisi wafuate maelekezo na miongozo ambayo inaletwa toka wizara na TAMISEMI, na kujifunza kuitekeleza. Lakini pia aliwaambia wasiache kushauri na kushirikisha menejimenti pale wanapoona fedha haziendani na uhalisia wa mradi.

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy akisisitiza jambo katika ziara ya kamati ya siasa Wilaya katika hospitali ya Wilaya.

“Mkurugenzi andaa nyaraka zote, miongozo, BOQ pamoja na ramani ya miradi yote kuanzia hapo hospitali, kituo cha afya, yote ikae tayari.” Alisema mkuu wa Wilaya Veronica Kessy.

Naye Katibu wa Chama cha CCM Wilaya ya Mbulu, Grace Haule aliwaomba CMT kwa umoja wao wamsaidie Mkurugenzi katika kutekeleza mambo mbali mbali ya halmashauri ikiwemo miradi ya maendeleo.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.