• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Baraza la Madiwani lapitisha Maadhimio kwa Nguvu Moja uko Dongobesh

Kurushwa hewani: February 11th, 2020

Kikao cha baraza la Madiwani kilichoketi katika Mji wa Dongobesh halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa  kujadili na kupitisha kwa kauli moja mambo mbalimbali ya kimaendeleo katika halmashauri hiyo ikiwa baraza hilo limebakisha kuketi kwa mara ya mwisho hapo baadae mwaka huu kabla ya kuelekea katika uchaguzi mkuu mwezi Oktoba mwaka huu 2020


Katibu wa Baraza la Madiwa(Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ndugu. Kamoga) akifuatilia kwa umakini mada zilizokuwa ziwasilishwa mezani.

Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na mkuu wa wilaya ya Mbulu Mh. Mkurugenzi mtendaji wa halmashauri ya mbulu Hadson Kamoga, kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya, wakuu wa Idara mbalimbali katika Halamshauri hiyo

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Ndugu Simbalimile Mufoga akitoa salama za Serikali.


Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mhe. Flatei Massay akichangia mambo mbalimbali ndani ya jimbo.

Katika hatua nyingine Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mh. amewataka wataalamu wa kilimo kwa kushirikiana na madiwani wa kata zote katika eneo hilo kufanya tathimini ya uharibifu wa mazao ili kuweza kuwa na takwimu sahihi ya hali ya chakula kwa mwaka huu

Akiongezea kuwa kwa kutokuwa na takwimu sahihi itakuwa ni vigumu sana kutambua changamoto zitakazojitokeza hapo baadae na hii ni kutokana na tishio lililopo la wadudu aina ya Nzige ambao tayari wapo nchi jirani ya Kenya ambao tayari wameshaingia nchini Uganda kwa hapa nchini wamekwishaanza kuingia katika Mkoa wa Kilimanjaro

Baadhi wa Waheshimwa Madiwa walipokuwa katika Ukumbi wa Mkutano kuendelea na Baraza.


Aidha kwa upande wa madiwani wamewasilisha taarifa za usimamizi na utekelezaji wa miradi ya maendeleo katika Kata zaote ikiwa ni mara ya kwanza kwa baraza hilo kuwasilisha ripoti hizo huku wakipata nafasi za kuhoji, kuchangia mambo mbalimbali katika ripoti hizo pamoja na kutoa maoni

Kutoka kushoto ni Wakili Msoni Mhe. Green pamoja na Katibu wa Vikao ndugu Mulokozi wakiteta jambo wakati wa kikao cha Baraza.

Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya na Badhi ya Wataalamu wa Hlamashauri wakiwa ukumbini





Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.