• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU DC YAZINDUA CHANJO YA SURUA NA RUBELLA.

Kurushwa hewani: February 16th, 2024

Na Ruth Kyelula, Afisa Habari Mbulu DC,

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, ndugu Moses Nduligu, amezindua kampeni ya Kitaifa ya utoaji wa Chanjo ya Surua na Rubella kwa watoto chini ya umri wa miaka mitano ambayo imeanza kutolewa tarehe 15 hadi 18, Februari, 2024.

Kaimu Mkurugenzi alizindua chanjo hiyo jana Februari 15,2024 katika kituo cha Afya Dongobesh, kilichopo katika Wilaya ya Mbulu.

“Tupo hapa kwa ajili ya zoezi la uzinduzi wa chanjo, maana yake zoezi hili linaendelea katika vijiji vyote vya Halmashauri yetu ya Wilaya ya Mbulu, Halmashauri yetu ina vijiji 76, lakini Mganga Mkuu ameamua tufanye uzinduzi katika kata yetu ya Dongobesh na kwenye kituo cha Afya Dongobesh.Kwahiyo sisi tumepata bahati ya kupata uzinduzi huu, na kwa maana hiyo sisi tunatakiwa tuoneshe lengo lililokusudiwa na Serikali kwenye eneo letu.” Alisema Nduligu.

Kaimu Mkurugenzi, Moses Nduligu akitoa salamu za Serikali kwenye uzinduzi wa chanjo ya Surua Rubella. 

Aliendelea kusema kuwa chanjo hizi ni muhimu sana kama wataalamu walivyosema, na chanjo zote Duniani zinamalengo ya kuzuia magonjwa. Yani maana yake ukipata chanjo wewe hautaugua ugonjwa huo. Kwahiyo ukiona Serikali inatoa gharama hizi zote, maana yake inaona umuhimu wa zoezi hili kwa Wananchi wake.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya Martin Mwandiki alisema kuwa, watashukuru wakina mama wakiwaleta watoto wapate chanjo kwa wakati, ili wawakinge na magonjwa. Kwahiyo tuhimizane huko majumbani watu walete watoto wapate chanjo.

Mganga Mkuu wa Wilaya, Dkt. Martin Mwandiki akizungumza na wakina mama wa kata ya Dongobesh waliojitokeza kwenye zoezi la chanjo  

Kwa upande wake Afisa Afya na Mratibu wa huduma za chanjo Ali Suleiman, alisema kuwa kuna zoezi la kampeni ya kitaifa ya utoaji wa chanjo ya Surua Rubella pamoja na chanjo nyingine, vile vile utoaji wa matone ya vitamin A, kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Na zoezi hili linafanyika Nchi nzima, Tanzania bara.

Baadhi ya wakina mama wa kata ya Dongobesh, waliojitokeza kwenye chanjo

“Jamani hizi chanjo ni muhimu, zinaongeza kinga katika mwili na zinasaidia kukinga magonjwa mbalimbali kwa mujibu wa chanjo husika. Lakini chanjo ya Surua inawakinga walengwa ambao wamepatiwa chanjo na ugonjwa wa Surua. Surua ni hatari,Surua inaua.” Alisema Afisa Afya.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.