• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Shule Mpya ya Flatei Massay yazinduliwa na Mwenge

Kurushwa hewani: October 17th, 2023

Na Mary Margwe, TimesMajira Online, Mbulu

Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 umezindua Shule Mpya ya Msingi Flatei Massay iliyopo Kijiji na Kata ya Haydom Katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara, huku Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdalla Shaib Kaim akiwapongeza viongozi wa Wialya hiyo ikiongezwa na Mkuu wa Wilaya hiyo Kheri James, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Abubakar Kuuli, Mwenyekiti wa Halmashauri hiyo Joseph Mandoo pamoja na Mbunge wa Jimbo hilo Flatei Massay Kwa uwajibikaji wao, ikiwa ni sambamba na kusimamia miradi hiyo kikamilifu.

Kaimu ameyasema hayo juzi alipokua akizungumza wakati akikagua shule nankisha kuzindua mradi huo, ambapo amesema kuwa ni mradi mzuri utakaowasaidia wanafunzi kuondoka na acha ya kute!Bea umbali mrefu kufuata shule.

Aidha Kaim amefafanua kuwa ni vema Sasa wanafunzi wakatambua u!uhimu wa miundombinu hiyo kuwa imetumia gharama kubwa kugharamia Ujenzi wa shule, hivyo wanatakiwa kujilinda miundombinu hiyo ili nayo ije iwatunze kizazi na kizazi.

“Ndugu zangu niwapongeze viongozi wetu wote Kwa juhudi mbalimbali katika kuhakikisha mrdi huu unakamilika na ili kuweza kuharakisha kutoa huduma kwa watoto wetu ambao Leo hii tunafurahi mradi umekamilika, utunzeni huu mradi, kama mlivyosikia Rais wetu Dkt.Samia Suluhu Hassan ameleta fedha nyingi hapa na shule imekamilika” amesema Kaim.

Akisoma taarifa ya mradi huo mbele ya Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Abdalla Shaib Kaim, Mwl. Mkuu wa Shule ya Msingi Haydom Joshua John Mwambo amesema Shule hiyo ni ya mkondo mmoja wenye vyumba 9 vya madarasa, Jengo la Utawala, vyoo ya matundu 16 na kichomea taka.

Mwl. Mwambo amesema shule mpya ya Msingi Flatei Massay ilipokea fedha jumla ya sh.kil.348,500,000 kutoka Serikali kuu kupitia mradi wa Boost.

” Fedha za Ujenzi wa mradi huu zilipokelewa mnamo April 24, 2023, Kisha mradi ukaanza kutekelezwa Mei 30,2023 na kukamilika mnamo Septemba 30, 2023, mradi huu umetekelezwa Kwa mfumo wa force account ” amesema
Mwl.Mwambo.


Aidha amesema hadi kukamilika Kwa mradi huo umegharimu jumla ya sh.mil.366, kati ya fedha hizo wananchi wamechangia jumla ya sh.mil.17.5, huku Serikali kuu ikichangia sh.mil.348.5.

Akielezea mafanikio ya mradi amesema ni pamoja na kuondoa msongamano wa wanafunzi darasani, kuboresha Mazingira ya kufundishia na kujifunzia, kuongezeka kwa imani ya wananchi Kwa Serikali yao, na hivyo wananchi kuhamasika kuchangia miradi mbalimbali nankutunza miundombinu ya shule.

Kufuatia Ujenzi wa shule kama kichocheo kikubwa cha upatikanaji wa elimu katika Kijiji na kata ya Haydom, wananchi wamemshukuru Rais Dkt.Samia Suhulu Kwa kuwapatia fedha Kwa ajili ya Ujenzi huo wa shule.

” Kama inavyofahamika Taifa lolote lile duniani linapokosa elimu ni lazima litatawaliwa na umaskini, hivyo kitecho cha Rais Samia Suluhu Hassan kuwapatia fedha ni uzalendo mkubwa, wa kuwataka wananchi wale wasome ili waondoe ujinga.

” Hata Hayatinbaba wa Taifa Mwl.Julius Kambarage Nyerere alituambia wazi kuwa maadui watatu wa kukabiliana nanumaskini Moja wapo ni Ujinga, huku pia maandiko ya dini nayo hayakutuacha nayo yametutaka amanyanasema ” Mshike sana elimu, usiniache aende zake ” hivyo tuna kila sababu ya kumshukuru Rais wetu kwa fedha za mradi huu wa shule” amesema.

Naye Mbunge wa jimbo la Mbulu Vijiji Flatei Massay ameipongeza Rais Dkt.Samia wa kuwapatia za Kwa ajili ya Ujenzi wa shule hiyo ni Mkombozi wa Kijiji cha Haydom.

Hata hivyo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2023 abdalla Shaib Kaim amempongeza Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Kheri James pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya hiyo Abubakar Kuuli kwa uwajibikaji wao katika kusimamia shughuli mbalimbali za Maendeleo ikiwa ni pamoja na kusimamia kikamilifu miradi iliyipitiwa na mbizo za Mwenge wa Uhuru 2023.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.