• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Naibu Waziri wa Elimu asisitiza Wazazi kutumia Elimu bure Ipasavyo

Kurushwa hewani: October 10th, 2018


Naibu Waziri wa Elimu wa kwanza kulia alipokuwa akiwasii katika shule ya Sekondari Tumati kukagua Mradi wa ujenzi wa Bweni la Wasichana, anayefuata ni Mkuu wa Wilaya ya Mbulu ndugu Umofuga, Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Willaya ya Mbulu ndugu kamoga na Afisa Elimu Sekondari.

William Ole Nasha Naibu Waziri wa Elimu amesema hayo l eo alipofanya ziara ya siku moja Wilayani Mbulu na kukagua baadhi ya miradi ya Elimu kwa kata ya Dongobesh na Tumati.

Akiongea mbele ya Mkutano wa hadhara wamewahimiza wazazi kuwaandiksha wanafunzi kwa wingi kwani kwa sasa elimu ni bure na sio kuwazuia watoto ili waende kuchunga, akitoa mfano Kutoka jimboni kwake loliondo amesema kwa hivi sasa wanaochunga ni Wazee na sio watoto.


Naibu Waziri wa Elimu akipata maelekezo kwa Kina juu ya ujenzi wa Bweni la wasichana  toka kwa Mhandisi wa Ujenzi ndugu Bundala


Aidha amewataka wanafunzi kusoma kwa bidii ili kujikwamua kielimu na kuja kuwasaidia wazazi kwa maendeloe ya baadae na kuwaagiza viongozi kuanzia ngazi za vijiji hadi juu kwa wanafunzi wanaomaliza darasa la saba hawaondoki maeneo yao kwenda kufanya kazi za ndani wakati wakiwa wanasubiri matokeo yao yakuhitimu darasa la saba kwani wengi wao wanapondoka kuna wanyima fursa ya kuendelea na masomo.

Naibu waziri ole nasha akiongea na wanafunzi wa Shule binafsi ya Wasichana Gote iliyoko kata ya dongobesh.

Naibu Waziri huyo ameendelea kuwaomba viongozi kuwa mfano wa kuigwa katika jamii pale wanapopata dhamana ya kusimamia fedha za Serikali katika miradi iliyokusudiwa.

Mhe. Flatei G.Massay akiongea na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Tumati hii leo katika Ziara ya Naibu Waziri wa Elimu Mhe. William Ole Nasha


Mhe. William Ole Nasha akiwa amavaa vazi la Asili ya Kiiraqw hii alipofanya ziara yake katika kata ya Tumati na Dongobesh.

Mkurugenzi Mtendaji wa halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mwenye T.shirt nyeusi aliyekaa akiwa na baadhi ya Viongozi wakisikiliza kwa makini hotuba ya Mhe. Waziri wa Elimu hii leo katika ziara ya siku moja wilaya humo.



Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.