• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Tume yasema kujiandikisha zaidi ya mara moja ni kosa Kisheria.

Kurushwa hewani: August 26th, 2024

Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema kujiandikisha kuwa Mpiga Kura Zaidi ya mara moja ni kosa la kisheria kwa kuzingatia masharti ya kifungu cha 114(1) cha sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024.

Hayo yalisemwa na Mhe. Jaji Asina Omari, Mjumbe wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi na Jaji wa Mahakamu Kuu wakati akifungua Mkutano wa Tume na Wadau wa Uchaguzi katika Ukumbi wa Mikutano wa Mkuu wa Mkoa, Mkoani Manyara leo tarehe 25 Agosti, 2024.

“Nitoe rai kwenu, muwaelimishe wananchi wanaokwenda vituoni kwa ajili ya kuomba kuandikishwa kuwa wapiga kura, kuomba kuandikishwa kuwa wapiga kura ni mara moja tu ili kuepuka uvunjaji wa sheria” Alisema Mhe. Jaji Asina

Mjumbe wa Tume, Mhe.Jaji Asina Omari amewapongeza wadau wa Uchaguzi na wananchi wa Manyara kwa kupata fursa ya mkoa wao kuwa katika mzunguko wa nne wa uboreshaji wa Daftari na kuwataka wawe mabalozi wazuri wa kusambaza taarifa na kuhamasisha wananchi kujitokeza kwa wingi kujiandikisha na kuboresha taarifa ili zoezi hili lifanyike kwa ufanisi na mafanikio makubwa.

Mhe.Jaji Asina Omari aliwakumbusha Wadau wa Uchaguzi kuwa zoezi hili ni kwa mujibu wa Ibara ya 74(6) ya Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya Mwaka 1977 ikisomwa pamoja na Kifungu cha 16(5) cha sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024 ambayo inatoa jukumu kwa Tume kusimamia na kuratibu uandikishaji wa wapika kura mara mbili kati ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge wa Jamhuri ya Muungano na Madiwani Tanzania Bara uliomalizika na kabla ya siku ya Uteuzi wa wagombea kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu unaofuata.

Aidha, mzunguko huu wa nne wa uboreshaji wa Daftari ia Kudumu la Wapiga Kura utajumuisha sehemu ya mkoa huu wa Manyara katika Halmashauri za Wilaya ya Babati, Babati Mji Hanang, na halmashauri ya Mbulu na mikoa ya Mara na Simiyu ambapo utaanza tarehe 04 hadi 10 Septemba, 2024 na vituo vitafunguliwa kuanzia saa 2:00 Asubuhi na kufungwa saa 12:00 kwa siku saba.

Hata hivyo, safari hii mfumo wa uandikishaji wapiga kura umeboreshwa ambapo kwa mara ya kwanza utamwezesha mpiga kura aliyemo kwenye Daftari kuanzisha mchakato wa kuboresha taarifa zake au kuhama kituo kwa kutumia aina zote za simu au Kompyuta.

 Wapiga kura wanaotumia simu za kawaida (Maarufu kiswaswadu au kitochi) wanaweza kupiga namba *152*00# na kisha watabonyeza namba 9 na kisha wataendelea na hatua zingine kama itakavyoelekezwa kwenye simu husika






Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.