• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WANAWAKE WAASWA KUCHANGAMKIA FURSA ZA KUGOMBEA UONGOZI.

Kurushwa hewani: March 9th, 2024

Na, Ruth Kyelula, Mbulu DC,

Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Mbulu, Reginah Msigwa ameitaka jamii kutambua, kuthamini uwezo na mchango mkubwa wa wanawake katika kuleta maendeleo, kuwajengea uwezo wa kiuchumi na kijamii ili waweze kushiriki kikamilifu katika kujiletea maendeleo yao, familia zao, jamii na Taifa kwa ujumla.

Mgeni rasmi Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Mbulu, Reginah Msigwa, akisoma hotuba yake kwenye maadhimisho ya siku ya wanawake, Maghang Mbulu.

Hayo yalisemwa na Hakimu Mkazi wa Wilaya ya Mbulu, Reginah Msigwa wakati akisoma hotuba yake ambayo alimwakilisha mgeni rasmi aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Kheri James, katika viwanja vya Maghang, wilayani Mbulu, March 08, 2024.

“Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imetekeleza yafuatayo katika kuhakikisha kuwa wanawake wanastahili kwa kufanya mambo mbalimbali yakiwemo: kuwashirikisha wanawake katika chaguzi zote za vyama vya siasa, serikali za mitaa na uchaguzi mkuu, kutenga na kutoa asilimia 4 ya mapato ya ndani ya Halmashauri na kutoa mikopo kwa vikundi vya wanawake wajasiriamali bila riba na kuhakikisha kuwa mimba mashuleni zinakomesshwa katika shule za msingi na sekondari.” Alisema Hakimu Reginah.

Wanawake wa Wilaya ya Mbulu kwenye picha ya pamoja katika viwanja vya Maghang, Mbulu 

Naye mwakilishi wa Mwenyekiti wa UWT Wilaya ya Mbulu, Mheshimiwa Agness Karengi, alisema kuwa wanawake wa Wilaya ya Mbulu wajitahidi kuupinga ukatili wa kijinsia na unyanyasaji wa kijinsia ambao upo na unafanyika katika jamii zetu, alisema itoshe sasa kunyanyasana na wanyanyasaji waibuliwe wasifumbiwe macho. 

Kwa upande wa Mkuu wa Idara ya Maendeleo ya jamii katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Praxeda Kanja, alisema kuwa anawashukuru wanawake wa Wilaya ya Mbulu kwa kuitendea haki siku ya wanawake, walijitokeza kwa wingi na anaamini ujumbe kwa wanawake ulifika na pia imeonesha mwamko fulani kwa jamii.

“Katika maadhimisho hayo kulikuwa na matukio mbalimbali ya kijamii, kama upimaji wa saratani ya shingo ya kizazi na ugawaji wa Taulo za kike katika shule ya sekondari Maghang, kwahiyo siku yetu kwa ujumla iligusa maeneo mengi.” Alisema Kanja.

Aidha Praxeda alitoa wito kwa wanawake wa Wilaya ya Mbulu na Tanzania kwa ujumla kuwa wanawake waendelee na shughuli mbalimbali ambazo zinawasababisha wasonge mbele, lakini pia wakatae mila na desturi ambazo ambazo zinagandamiza maendeleo ya mwanamke au kuondoa utu wake kama mwanamke, hususani vitendo vya ukeketaji.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.