• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Wanufaika wa mradi wa TASAF waaswa kufanya kazi kwa bidii.

Kurushwa hewani: July 15th, 2023

Mwenyekiti wa Kijiji Cha Haydarer wilayani Mbulu mkoa wa Manyara Zebedayo Tambo akizungumza na wanakijiji wakati wa mkutano na wawezeshaji toka TASAF June 06,2023.

Mwezeshaji wa TASAF Christina Mgana, ametoa wito kwa wanufaika wa mradi wa TASAF Kijiji Cha Haydarer wajitahidi kufanya kazi na fedha wanazozipata wafanyie vitu vya msingi.

Bi. Christina alisema hayo wakiwa kwenye kikao na wanufaika wa mradi katika Kijiji Cha Haydarer wilayani Mbulu mkoa wa Manyara mnamo June 06,2023, wakikagua mradi uliopita wa upandaji miti na kujadili mradi Mpya wa Barabara.

Wanakijiji wa Haydarer Wilayani Mbulu wakiwa sikiliza wawezeshaji toka TASAF June 06,2023.


"Mradi huu wa Ajira za muda kwa walengwa ulianza kutekelezwa mwaka 2022 December,na tulianza na Mradi wa upandaji miti na sasa tumeanza mradi wa barabara ambao ni mradi wa pili." Alisema Bi. Christina.

Aidha Christina alisema kuwa kwa sasa wanapitia changamoto kubwa ya wanufaika hawalipwi kulingana na kazi wanazozifanya ambapo imepelekea wanufaika kulalamika kuhusu jambo hilo.

Hii ni barabara ambayo mradi wa pili unatarajia kuanza, Serikali ya Kijiji na wawezeshaji wa TASAF walipata wasaa wa kwenda kuikagua, June 06, 2023.

Kwa upande wa Mnufaika Bi. Bertha Sirili alisema kuwa mradi umemsaidia kwani  tangu amejiunga na Mpango ameweza kumudu mahitaji muhimu kwa kusomesha watoto wake ambao bado wanaendelea na masomo.

Bi. Bertha alisema mbali na hayo Kuna changamoto wanayopitia ya kucheleweshewa malipo ama fedha zao kutokulipwa kwa wakati, hivyo ameiomba TASAF wajitahidi kuwalipa wanufaika kwa wakati.

Naye Mwenyekiti wa Kijiji Cha Haydarer bwana Zebedayo Tambo amewaomba wanakijiji anaowaongoza wajitahidi kufanya kazi kwa bidii ili wajikwamue kimaisha.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.