• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

Kurushwa hewani: January 30th, 2025

Na, Ruth Kyelula, Mbulu DC

Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Joseph Mandoo, alisema kuwa lengo la kutembelea Kituo cha Afya Dongobesh ni kupeleka huduma kwa mama wajawazito na wale waliojifungua, ili kuhakikisha wanaona mkono wa Serikali, viongozi na watumishi wa Hamashauri.

Timu ya wataalamu, waheshimiwa Madiwani na Mbunge wa Mbulu vijijini watoa sadaka kwa wazazi wa Kituo cha Afya Dongobesh, Januari 30, 2025.

Hayo aliyasema Januari 30, 2025 wakati akikabidhi sadaka hizo kwa Kaimu Afisa muuguzi mfawidhi wa kituo cha Afya Dongobesh, Zenobi Lucas, na katika ziara hiyo aliambatana na waheshimiwa Madiwani, Mbunge, kaimu Mkurugenzi pamoja na wataalamu wa Halmashauri.

“Huu ni mchango ambao tumeuchangisha sisi wataalam,madiwani na watu wenye mapenzi mema kwa ajili ya kusaidia wakina mama waliojifungua katika kituo chetu cha Afya Dongobesh, tunajua wanamahitaji mengi kina mama na wanatoka katika maeneo mbalimbali na pia hawana uwezo wa kukidhi mahitaji yale ya msingi, kwa hiyo sisi tumeona ni vema tuwaletee haya mahitaji kwa ajili ya watoto wao lakini pia wamama wajawazito ambao wapo hapa”. Alisema Mwenyekiti wa Halmashauri Mandoo.

Mhe.Mandoo alisema vitu vilivyopelekwa ni pempasi za watoto pc 20, soksi za watoto pc 20, mafuta ya watoto pc 20, kofia za watoto pc 20, baby shoo pc 20, sabuni ya unga mifuko miwili, maternity pads dazani mbili, nguo za ndani pc 20 na sabuni ya mche box moja.

Naye Mbunge wa Mbulu vijijini, Flatei Massay, alisema kuwa kama Hamashauri wameona ni vema kuwapelekea vitu hivyo kama sadaka kwa jamii hitaji inayowazunguka.

Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi, Juma Kilimba, alisema kuwa ni kawaida na ni utaratibu wa Halmashauri kuwasaidia watoto,wakina mama na makundi mengine wanayohitaji msaada,kwa hiyo utaratibu huo utakuwa endelevu kwa makundi yote hitaji kwa Halmashauri yetu.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.