• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Idara ya Maji

TAARIFA YA HALI YA UPATIKANAJI WA MAJI KATIKA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

 UTANGULIZI

Idara ya maji inajukumu la kutekeleza shughuli mbalimbali za usambazaji wa maji safi na salama katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu. Wananchi wanapata huduma ya maji safi na salama ni asilimia 44.8%. Halmashauri ya Wilaya ina jumla ya vituo vya kuchotea maji viapatavyo 371 kati ya hivyo vituo 259 vinafanya kazi kutoka katika vyanzo na miradi ya hapo chini;

S/N
Aina ya Vyanzo/miradi
Inayofanya kazi
Inayoendelea kujengwa
1
Malambo kwaajili ya mifugo
17
2
2
Visima virefu vyenye Pampu za mikono
88

3
Visima vifupi vyenye Pampu za mikono
27

4
Miradi ya maji ya mserereko
3
2
5
Miradi ya maji ya inayosukumwa kwa pampu/mashine /solar
7
1
6
Chemchemi zilizoboreshwa
9

7
Matenki ya uvunaji wa maji ya mvua
23

8
Mabwawa makubwa umwagiliaji
1 (mangisa)
1 (D’besh)

HALI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI 

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu inatekeleza miradi tisa ( 8 ) kati ya miradi kumi na moja ( 10 ) ( ambapo katika vijiji viwili maji yalikosekana ) kwa mchanganuo wa hapo chini kama ifuatavyo;

MIRADI YA WSDP I INAYOTEKELEZWA NA WILAYA
IDADI YA VITUO VYA MAJI
IDADI YA WATU
IDADI
VIJIJI
ILIYOKAMILIKA
INAYO ENDELEA
HAIJA ANZA
VILIVYO JENGWA
VINAVYOFANYA KAZI

10
22
4
4
2
159
60
67,253

Thamani ya miradi ya vijiji kumi inayotekelezwa katika Wilaya yetu, fedha iliyolipwa kwa wakandarasi hadi sasa na fedha iliyobaki kukamilisha miradi inayoendelea kama ifuatavyo;

THAMANI YA MIRADI
FEDHA ILIYOLIPWA
FEDHA ILIYOBAKI
% YA FEDHA ZILIZOLIPWA
% ASILIMIA YA UTEKELEZAJI
6,531,999,594
3,622,052,238
2,909,947,356

55.5

78

 

WADAU MBALIMBALI WALIOSHORIKI ANA NA WILAYA YA MBULU KATIKA SEKTA YA MAJI

Katika ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu ya maji.

Washirika hao ni WaterAid Tanzania, Idara ya Maendeleo ya Jimbo Katoliki la Mbulu (DMDD), TAG Jimbo la Mbulu, NCA kupitia 4CCP na KKKT Dayosisi ya Mbulu.

 

 

FEDHA ZILIZOTENGWA KWA MWAKA WA FEDHA 2016/2017

Mheshimiwa Waziri Mkuu,

Mwaka wa fedha 2015/16
Mwaka wa fedha 2016/17
BAJETI
ZILIZOTOLEWA
BAJETI
ZILIZOLETWA
1,007,159,860.00
684,297,957.00
2,452,035,000.00
196,113,732.00

USAJILI WA VYOMBO VYA WATUMIAJI MAJI ( COWSO )

Aidha katika kufanya miradi inakuwa endelevu idara ya maji inajukumu la kuunda na kusajili lakini kuhakikisha wanafanya kazi zao ipasavyo vyombo vya watumia maji (COWSOs)

Hadi kufikia March 2017, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imeunda na kusajili kisheria vyombo vya watumiaji maji vipatavyo 16 ambapo vyombo huru 6 vimeundwa na vipo katika hatua ya kusajiliwa, mpango ni kuunda na kusajili Cowoso 60 hadi 2020/21.

Baada ya vyombo hivi kuundwa na kusajiliwa kisheria hukabidhiwa miradi ya maji katika maeneo yao ili kusimamia, kuendesha na kuendeleza miradi iliyopo kwa manufaa ya wananchi wote.

MPANGO WA MIAKA MITANO 2016/2017-2020/2021

Wilaya ya Mbulu imeadaa mpango wa maji na usafi wa mazingira wa miaka mitano kuanzia 2016/17 hadi 2020/21 na inategemea kutekelaza miradi mipya katika vijiji 40, miradi ya upanuzi katika vijiji 2 na kufanya ukarabati wa miundo mbinu ya maji katika vijiji 15 kupitia program ya maendeleo ya sekta ya maji awamu ya pili ( WSDP II ) kupitia mpango huu tunatarajia kuwa hali ya upatikanaji wa maji itaongezeka kutoka 44.8% ya sasa hadi 85% ifikapo juni 2021.




Objective

To provide backstopping expert services to LGAs in the development of Water sector

This Section performs the following activities:-

•Analyse, coordinate and advise on the implementation of Water Sector Policies in the Region;

•Build Capacity of LGAs in Water Sector;

•Liaise with the relevant authorities in the Central and Local Government on water sectors issues;•Develop and improve water and sanitation in the region;

•Facilitate, co-ordinate, monitor and regulate all private sectors that provide water services in the Region;

•Facilitate and coordinate Water and environment cleanness Team in the Region;

•Facilitate and advise LGAs to identify and establish of rural water bodies; 

•Facilitate LGAs in preparation of guidelines for implementation and rehabilitation of water projects.

The Section is led by an Assistant Administrative Secretary.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI.

    May 16, 2025
  • KAMATI LISHE YAKAA KIKAO CHA TATHIMINI YA HALI YA LISHE KWA ROBO YA TATU

    May 08, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI KATIKA KATA ZAO

    April 29, 2025
  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.