• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

Kurushwa hewani: November 18th, 2025

Na Magreth Mbawala,Mbulu DC.


Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu, leo Novemba 18,2025 ameitaka timu ya wataalamu ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kuongeza kasi ya uwajibikaji na utendaji kazi kwenye majukumu ya kila siku ili kuleta ufanisi.


Haya yamesemwa katika kikao kazi kilichofanyika katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kikiwa na lengo la kukumbushana na kuwekana sawa kwenye maswala mbalimbali yanayohusu maendeleo.

“Serikali imeleta fedha nyingi kwa ajili ya miradi ya maendeleo,wakuu wa Idara na vitengo jukumu lenu ni kusimamia miradi hiyo ikamilike kwa wakati na ubora.”Alisema Mhe. Semindu


Sambamba na hilo Mhe. Semindu aliwataka wakuu wa Idara na Vitengo kuendelea kukusanya mapato na kuzuia mianya ya upotevu wa mapato,kuendelea kupambana na maswala ya ukatili wa kijinsia kwa kutoa Elimu na kuripoti matukio ,kuzingatia usafi wa mazingira na upandaji miti kwenye mazingira yetu na kutoa utaalamu wa maswala ya kilimo kwa sababu tunaelekea kwenye msimu wa kilimo.


Naye Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu Paulo Bura,aliwataka wataalamu kuwa waadilifu na kuzingatia misingi ya utumishi wa umma.

Kwa upande wake Mkurugenzi mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Abubakar Kuuli,alipokea maelekezo na kusema atayafanyia kazi maelekezo yaliyotolewa mara moja .Pia alishukuru kwa kikao kazi hicho chenye tija na kukumbushana maswala mbalimbali ya kiutendaji.


Akifunga kikao kazi hicho,Mhe.Semindu aliwapongeza wataalamu na Halmashauri kwa kufanya vizuri kwenye afua za lishe na pia kwenye maswala ya Elimu.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • MGANGA MKUU WA WILAYA AMEKABIDHI VIFAA TIBA KWA FUNDI SANIFU VIFAA TIBA

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.