• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA FEDHA YAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MBULU DC

Kurushwa hewani: January 7th, 2026

Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imepongeza kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo inayotekelezwa katika Halmashauri hii, ikieleza kuridhishwa na matumizi sahihi ya fedha pamoja na ubora wa kazi unaoonekana katika maeneo mbalimbali.


Pongezi hizo zimetolewa leo 07/01/2026 Wakati wa ziara ya robo ya pili ya kukagua miradi ya maendeleo inayotekelezwa kwa kutumia mapato ya ndani, fedha kutoka Serikali Kuu na Wahisani ikiwa ni sehemu ya jukumu la kamati kuhakikisha thamani ya fedha inalindwa na miradi inakamilika kwa viwango vilivyokusudiwa.


Akizungumza kwa niaba ya kamati, Mwenyekiti wa Kamati ya Fedha, Uongozi na Mipango Mhe. Yeconia Deless amesema kuwa miradi mingi iliyotembelewa ipo katika hatua nzuri za utekelezaji na inaonesha kuzingatia mipango, bajeti na muda uliopangwa.


“Kamati imeridhishwa na kasi ya utekelezaji wa miradi tuliyotembelea. Tunazipongeza idara husika, wasimamizi wa miradi pamoja na wakandarasi kwa kufanya kazi kwa weledi na kuzingatia mkataba,” alisema Mhe. Deless.


Aidha, Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ndugu Juma Kilimba ameeleza kuwa halmashauri itaendelea kusimamia miradi yote kwa karibu ili kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa viwango vinavyokubalika, huku akitoa wito kwa watendaji na wakandarasi kuendelea kufanya kazi kwa bidii na uwajibikaji.


“Nichukue fursa hii kuishukuru Kamati ya Fedha kwa maelekezo na ushauri walioutoa. Halmashauri itaendelea kuyafanyia kazi ili kuongeza ufanisi na kuhakikisha wananchi wananufaika kikamilifu na miradi ya maendeleo,” alisema Kilimba


Ziara hii ni sehemu ya ratiba ya kawaida ya kamati katika kutekeleza majukumu yake ya kisheria na kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuwaletea wananchi maendeleo endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU AONGOZA KAMPENI YA UHIFADHI WA MAZINGIRA KWA UPANDAJI WA MITI 400 SHULE YA AMALI HARSHA NA KITUO CHA AFYA DONGOBESH

    January 08, 2026
  • KAMATI YA FEDHA YAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MBULU DC

    January 07, 2026
  • DC SEMINDU ASISITIZA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • DK NUWAS ATANGAZA TABASAMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

    December 24, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.