• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU ASISITIZA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA BIMA YA AFYA KWA WOTE

Kurushwa hewani: January 5th, 2026


Wataalamu mbalimbali kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Wanasiasa, Wakuu wa Taasisi za Umma na Binafsi, Viongozi wa Dini na Wazee Maarufu wameshiriki Kikao kazi juu ya ufahamu wa Bima ya Afya kwa wote leo 05/01/2026. Kikao kimefunguliwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu na kuongozwa na Watalaamu wa bima ya Afya kutoka Ofisi ya Mkoa wa Manyara.


Bima ya Afya kwa wote ni Bima inayolenga kuwahudumia Wananchi wote bila kujali uwezo wao kiuchumi, bima hii inatarajiwa kufunguliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan hivi karibuni ikilenga kuwahudumia Wananchi wote kwa uwiano sawa.  


Aidha Bima ya Afya kwa wote ni moja ya sehemu ya ahadi za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan aliyoahidi kuitekeleza ndani ya siku 100 endapo atapewa ridhaa ya kuwa Rais katika kampeni za Uchaguzi Mkuu 2025- 2030.


Wanachama wataunda kikundi cha watu 6 na kuchangia kiasi cha shilingi 150,000/=  kwa kila kikundi na kwa kila mwaka kama gharama za uendeshaji na kunufaika na huduma ya bima hii, Lakini pia kwa wananchi wasio na uwezo wa kugharamia kiwango hicho Serikali itawagharamia kwa kuhakikisha kila Mwananchi anapata uhakika wa huduma za Afya.


Pia katika kutamatika kwa mafunzo hayo Mhe. Semindu amesisitiza ushiriki wa wananchi katika bima ya afya kwa wote akiwataka washiriki wote wa kikao wakatoe elimu hii katika maeneo yao ili kukamilisha agenda hii muhimu ya uhakika wa huduma ya Afya wote.





Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU ASISITIZA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • DK NUWAS ATANGAZA TABASAMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

    December 24, 2025
  • DKT. NUWAS AMEPONGEZA NA KUSISITIZA KASI KATIKA UJENZI WA MIRADI

    December 23, 2025
  • DK.NUWAS MBUNGE MBULU VIJIJINI ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE YA AMALI HARSHA

    December 17, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.