• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DK.NUWAS MBUNGE MBULU VIJIJINI ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE YA AMALI HARSHA

Kurushwa hewani: December 17th, 2025

Na Nashon Biseko.


Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mhe. Dkt Emanuel Nuwas leo tarehe 17/12/2025 amefanya Ziara yake ya kwanza kutembelea Shule ya Amali ya Harsha iliyoko kata ya Bashay ili kuona maendeleo ya Ujenzi wa shule hiyo


Akiwa katika ziara hiyo ameambatana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndugu Abubakar Kuuli pamoja na timu ya Wataalam wa Halmashauri ya Wilaya, Diwani wa Kata ya Bashay, Wakuu wa Idara, Kamati ya Ujenzi na Uongozi wa Serikali ya Kijiji .


Aidha Dkt. Nuwas amepongeza uongozi wa halmashauri na kijiji kwa usimamizi mzuri wa Ujenzi kwani imekuwa shule bora na ya mfano, pia ametoa wito kwa Serikali kuweza kiasi cha fedha kinachopelea kiweze kutoka ili ukamilishaji wa Ujenzi uweze kukamilika kwa wakati.


Pamoja na shughuli zote kufanyika Dkt Nuwas ameshauri kufanyika mambo mbalimbali ili kuendana na tarehe za ufunguzi kulingana na kalenda ya Serikali pamoja na kufanyika tathimini juu ya ujenzi wa Uzio wa shule. Pia amewaomba wananchi kusaidia kuchimba mifereji ya maji ili kuruhusu ujenzi wa mifumo ya maji katika vyoo na mabweni, kufatilia uunganishwaji wa Umeme kwani miundombinu yake imekamilika, amewaomba mafundi kukamilisha shughuli zilizobaki ili kutoa nafasi kwa wananfunzi wanaoenda kuanza masomo, kufitisha milango iliyo na kufanya marekebisho ya madirisha, pia ametoa ombi la kuwasilisha katika Wizara husika wanafunzi wa kutwa waruhusiwe kujiunga.


Akiongea kwa niaba ya kamati ya Ujenzi pamoja na Serikali ya Kijiji Mhe. Kalisti Diwani wa kata ya Bashay ameishukuru Serikali kwa kuwapangia wanafunzi ili kuanza Masomo yao na ametoa wito kuweza kuongeza Idadi ya Wanafunzi wengine hasa wanaotoka maeneo ya jirani na shule hususani Wilaya ya Mbulu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DK NUWAS ATANGAZA TABASAMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

    December 24, 2025
  • DKT. NUWAS AMEPONGEZA NA KUSISITIZA KASI KATIKA UJENZI WA MIRADI

    December 23, 2025
  • DK.NUWAS MBUNGE MBULU VIJIJINI ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE YA AMALI HARSHA

    December 17, 2025
  • WAKUU WA IDARA, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAASWA KUTENGENEZA BAJETI INAYOLENGA MAHITAJI YA JAMII

    December 15, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.