• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WAKUU WA IDARA, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAASWA KUTENGENEZA BAJETI INAYOLENGA MAHITAJI YA JAMII

Kurushwa hewani: December 15th, 2025

Na. Nashon Biseko, Mbulu Dc

Timu ya Wataalamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imeendesha Mafunzo kwaajili ya uandaaji wa Mipango na Bajeti katika Mikoa na Maamlaka za Serikali za Mitaa katika Ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya mapema hii leo 15/12/2025. Mafunzo haya yamefunguliwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya Ndugu Juma Kilimba na kuendeshwa na Wataalamu wa Mipango na Bajeti ndugu Haygaru Karengi na Juma Lugwisha.


Aidha Mafunzo haya yamehudhuliwa na Wakuu wa Idara, Vitengo na Maafisa Bajeti yakilenga utengenezaji wa Bajeti inayolenga kujibu mahitaji ya jamii kuanzia ngazi ya Kijiji/Mtaa, Kata, Halmashauri, Wilaya, Mkoa, Wizara ya fedha hadi ngazi ya Bunge.


Pia Waendeshaji wa Mafunzo wamewataka Watalamu hawa kuzingatia Usimamizi bora wa rasilimali, Kipimo cha utendaji, Mwongozo wa utekelezaji wa maendeleo, uwajibikaji na uwazi, Kuchochea maendeleo ya kiuchumi, Kusaidia uratibu wa mahusiano na wadau wa Maendeleo na kuhakikisha usawa na mshikamano wa Kitaifa wakati wa uandaaji wa Mipango ya Bajeti.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DK NUWAS ATANGAZA TABASAMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

    December 24, 2025
  • DKT. NUWAS AMEPONGEZA NA KUSISITIZA KASI KATIKA UJENZI WA MIRADI

    December 23, 2025
  • DK.NUWAS MBUNGE MBULU VIJIJINI ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE YA AMALI HARSHA

    December 17, 2025
  • WAKUU WA IDARA, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAASWA KUTENGENEZA BAJETI INAYOLENGA MAHITAJI YA JAMII

    December 15, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.