• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU AONGOZA KAMPENI YA UHIFADHI WA MAZINGIRA KWA UPANDAJI WA MITI 400 SHULE YA AMALI HARSHA NA KITUO CHA AFYA DONGOBESH

Kurushwa hewani: January 8th, 2026

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Mhe. Michael Semindu, ameongoza zoezi la upandaji miti 400 katika Shule ya Amali Harsha na kituo cha Afya Dongobesh, ikiwa ni sehemu ya jitihada za Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu katika kuhamasisha uhifadhi wa mazingira na kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi.

Akizungumza wakati wa zoezi hilo, Mhe. Semindu amesisitiza umuhimu wa jamii kushiriki kikamilifu katika utunzaji wa mazingira kwa kupanda na kutunza miti, akibainisha kuwa miti ni nguzo muhimu katika kulinda vyanzo vya maji, kuboresha hali ya hewa na kuhakikisha maisha endelevu kwa kizazi cha sasa na kijacho ambapo Wilaya ya Mbulu inatarajia kupanda Miti 1,500,000 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa agizo la Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira.

“Uhifadhi wa mazingira ni jukumu la kila mmoja wetu. Kupanda miti leo ni kuwekeza kwenye maisha ya baadaye ya watoto wetu,” alisema Mhe. Semindu.

Aidha, amewahimiza  walimu wa shule hiyo kuhakikisha miti iliyopandwa inatunzwa ipasavyo ili iweze kukua na kuleta tija iliyokusudiwa. Aliongeza kuwa shule ni maeneo muhimu ya kuanzia kujenga kizazi chenye uelewa na uwajibikaji wa masuala ya mazingira.

Kwa upande wake, Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mhe. Dkt Emmanuel Nuwas naye ameshiriki kikamilifu na kupongeza juhudi zinazofanywa na Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu katika kulinda mazingira, akisisitiza kuwa ushirikiano kati ya Serikali, viongozi na wananchi ni msingi wa mafanikio ya uhifadhi wa mazingira.

“Ni wajibu wetu sote, viongozi na wananchi, kuhakikisha tunalinda mazingira kwa vitendo. Upandaji miti katika shule ni hatua muhimu ya kujenga kizazi chenye uelewa na uwajibikaji wa mazingira,” alisema Nuwas

Pia Uongozi wa shule umeishukuru Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa kuendelea kuunga mkono juhudi za uhifadhi wa mazingira na kuahidi kushirikiana na wanafunzi katika kutunza miti hiyo kama sehemu ya mafunzo ya vitendo.

Zoezi hilo la upandaji miti ni sehemu ya utekelezaji wa sera na mikakati ya Serikali ya kulinda mazingira chini ya Ofisi ya Makamu wa Rais, ambapo Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imeendelea kuhamasisha upandaji miti katika shule, vituo vya afya na maeneo ya umma ili kuhakikisha Wilaya inaendelea kuwa ya kijani na salama kwa maendeleo endelevu


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • KAMATI YA LISHE MBULU YAJIVUNIA MAFANIKIO YA ROBO YA PILI, YAPITISHA MAAZIMIO MAPYA YA KUBORESHA HALI YA LISHE

    January 09, 2026
  • DC SEMINDU AONGOZA KAMPENI YA UHIFADHI WA MAZINGIRA KWA UPANDAJI WA MITI 400 SHULE YA AMALI HARSHA NA KITUO CHA AFYA DONGOBESH

    January 08, 2026
  • KAMATI YA FEDHA YAPONGEZA KASI YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MBULU DC

    January 07, 2026
  • DC SEMINDU ASISITIZA USHIRIKI WA WANANCHI KATIKA BIMA YA AFYA KWA WOTE

    January 05, 2026
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.