• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

Kurushwa hewani: November 12th, 2025

Na Nashon Biseko, Mbulu Dc


Katika wiki ya Maadhimisho ya Magonjwa yasiyo ya kuambukiza timu ya Madaktari na Wahudumu wa Afya kutoka Hospitali ya Wilaya ya Mbulu kwa kushirikiana na Wataalamu wa Afya na Lishe kutoka katika Ofisi ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu wametoa huduma mbalimbali za Afya katika Kijiji cha Lagangesh Mapema hii leo 12.11.2025


Huduma hizi zimetolewa kwa lengo la kuongeza uelewa juu ya umuhimu wa lishe bora, huduma za kitabibu ikiwemo upimaji wa Presha na Sukari sambamba na elimu ya kujikinga na Magonjwa yasiyo ya kuambukiza pamoja na elimu ya huduma rafiki kwa vijana.


Pia huduma hii imelenga kuwakwamua wanakijiji dhidi ya Magonjwa mbalimbali yasiyo ya kuambukiza na yatokanayo na ukosefu wa lishe bora, Umuhimu wa Uzazi wa Mpango, Umuhimu wa Kliniki kwa Wajawazito na Umuhimu wa kujifungulia katika vituo vya Afya.


Aidha watalamu wa Lishe wameshauri kuzingatia Makundi 6 ya Vyakula kama Vyakula asili vya nafaka, mizizi na ndizi mbichi, Vyakula asili ya Wanyama, Vyakula jamii ya mikunde na m,begu za mafuta, Mbogamboga, Matunda pamoja na Mafuta, Sukari, Asali na Chumvi wakiwashauri wanakijiji kuwa unachokula ndicho kinaamua Afya yako mfano matumizi mabaya ya mafuta, chumvi, sukari, pombe na sigara yanauwezo mkubwa wa kukuletea magonjwa badala yake kuzingatia makundi 6 ya chakula kwa lengo la kujenga afya kwani Magonjwa hayachagui Mtoto, Kijana au Mzee.


Baada ya huduma hizo Watoto wameandaliwa uji wa lishe pamoja na kufanyiwa tathimini ya hali ya lishe sambamba na kupewa Matone ya Vitamin A na dawa za Minyoo.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • MGANGA MKUU WA WILAYA AMEKABIDHI VIFAA TIBA KWA FUNDI SANIFU VIFAA TIBA

    October 01, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.