• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

Kurushwa hewani: November 24th, 2025

Na. Nashon Biseko, MDC


Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Ndugu Michael Semindu Mapema hii leo tarehe 24/11//2025 ametembelea miradi mbalimbali inayoendelea ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu akisisitiza kuongezeka kwa kasi ya ujenzi Pamoja na uwajibikaji kwa Mafundi na wasimamizi wa miradi


Alisema hayo wakati akikagua Miradi mbalimbali ndani ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu akianza na Kituo cha Afya Mamagi – Dinamu kinachoendelea na ujenzi wa Jengo la OPD, Choo cha nje na Kichomea taka wenye thamani ya shilingi 250,000,000 Chanzo cha pesa za mradi huu ni Serikali kuu.


Aidha amekagua mradi wa ujenzi wa shule ya Awali na Msingi unaoendelea ndani ya Shule ya Sekondari Dinamu wenye thamani ya shilingi 330,700,000 ambao upo chini ya Boost, pia amefika katika mradi wa vyoo vya shule ya Msingi Gidhim wenye matundu 19 wenye thamani ya shilingi 49,492,730.74 chini ya SWASH akiwataka Mafundi na wasimamizi wa mradi kuzingatia kasi ili kuendana na kasi ya makubaliano.


Sambamba na miradi hiyo amehitimisha kufanya ukaguzi wa maendeleo ya Mradi wa Shule ya Msingi Dongobesh wa Madarasa ya awali na matundu ya choo chini ya BOOST wenye thamani ya shilingi 163,600,000, Ujenzi wa matundu 7 ya choo katika Shule ya Msingi Mongahay wenye thamani ya shilingi 14,000,000/= na Ujenzi wa madarasa 3 ya shule ya Msingi Endoji madarasa 2 yenye thamani ya shilingi 12,000,000 yakiwa ni Mapato ya ndani na chumba 1 kutoka katika mfuko wa jimbo


Pia DC Semindu amehitimisha ziara yake kwa kuishukuru timu nzima ya ufuatiliaji kutoka katika ofisi ya Halmashauri ya Wilaya kwa ushirikiano mkubwa kwa kuwataka kufuatlia hatua kwa hatua kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa wakati.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

    November 24, 2025
  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.