• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

Kurushwa hewani: October 8th, 2025

Na, Magreth Mbawala, Mbulu DC.


Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Abubakar Kuuli amewaasa wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kutokomeza ukatili wa kijinsia kwenye jamii.


Haya yamesemwa leo tarehe 08/10/2025 katika ukumbi mdogo wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu akiwa anafungua mafunzo ya siku 3 kuhusiana na ukatili wa kijinsia yaliyoandaliwa na Kanisa la KKKT kupitia kitengo cha ustawi wa jamii.Mafunzo hayo yametolewa kwa kata mbili za Eshkesh na Yaeda Chini.


Mkurugenzi Kuuli aliwataka wote waliohudhuria semina kwenda kuwaelimisha na kuwafundisha wengine kwenye jamii zao madhara makubwa ya ukeketaji kwani jambo hilo ni kumkosesha mtoto wa kike haki yake ya msingi lakini pia linasababisha kupoteza damu nyingi wakati wa kujifungua na kusababisha kifo.


“Ndugu zangu hali yetu ni mbaya kama Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwenye swala zima la ukeketaji,mmekusanywa hapa kwa ajili ya kupokea semina na maelekezo kwakua kitendo kinachofanyika katika jamii yetu sio kitendo kizuri hata kidogo.”Alisema Kuuli.


Naye mwezeshaji wa kitaifa maswala ya ukatili wa kijinsia Faith Dewasi, amesema mabinti wengi waliofanyiwa ukatili wa ukeketaji wameathirika kisaikolojia na kushindwa kuendelea na masomo,wameshindwa kuingia na jamii hivyo ndoto zao zinakua zimefutwa.


Pia Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Manyara Emma Ngatoluwa, alisema mkoa wa Manyara unashika nafasi za juu kwenye swala la ukatili wa kijinsia,na ukeketaji kwa Mkoa wa Manyara upo kwa asilimia 43 kutokana na sensa ya mwaka 2022/2023.Tathmini inaonyesha kata za Eshkesh na Yaeda Chini zinaongoza kwa matendo ya ukatili wa kijinsia.


Mwisho mratibu wa Kurugenzi ya afya ya diakonia makao makuu ya KKKT Ezekiel Massawe alisema waliomba fedha kutoka kwa wafadhili ili kuweza kufanya utafiti kwa miezi 3 katika kata hizo mbili ambazo ukatili umekithiri. Wamewaita viongozi wa kiserikali,kimila,wakunga wa jadi,viongozi wa kidini na wazee maarufu ili kushirikiana nao kwa pamoja katika kutoa Elimu hiyo kwenye jamii zao.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • MGANGA MKUU WA WILAYA AMEKABIDHI VIFAA TIBA KWA FUNDI SANIFU VIFAA TIBA

    October 01, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 5.3 MBULU DC YAKAGULIWA NA TIMU YA UKAGUZI MKOA

    September 29, 2025
  • MIRADI YA BILIONI 4.7 YAKAGULIWA NA TIMU YA WATAALAMU (CMT) YA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

    September 22, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.