• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Baraza la Madiwani Mbulu laipongeza Serikali

Kurushwa hewani: April 25th, 2018

Baraza la madiwani la Halmashauri ya Wilaya Mbulu limeipongeza serikali kwa kusimamia maamuzi ya ujenzi wa Makao Makuu kuwa Dongobesh kutokana na mapendekezo ya baraza na hata baada ya ziara ya Mhe. Mkuu wa Mkoa wa Manyara iliyofanyika tarehe 04-09/03/2018 ambapo alishauri kuwa ujenzi ufanyike Haydom na kuwaagiza Mwenyekiti na Mkurugenzi kuitisha baraza maalum ili kujadili maoni hayo.

Waheshimiwa Madiwani wakiwa ukumbini kuendelea na mjadala wa kikao.

Akiongea kwenye kikao hicho kilichofanyika hii leo tarehe 25/04/2018, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mhe. Joseph Mandoo amewaomba Waheshimiwa madiwani kutumia kikao hicho kuweza kupanga na kusimamia maendeleo ya Halmashauri kwa ujumla.

“Napenda kutumia fursa hii kuipongeza Serikali ya awamu ya tano ya Mhe. Joseph Magufuli na Uongozi wake kwa ujumla kwa kuwa makini na kusimamia kile kinachotekelezwa kwa umakini na  Watendaji wake wa chini wanachokipanga na kukipitisha ili kuleta maendeleo kwa wananchi”, amesema Mhe. Mandoo kwenye kikao cha baraza hilo.

Mhe. Joseph G. Mandoo Mwenyekiti wa Halmashauri  akisoma kwa makini muhtasari unaowasilishwa

Kufutia vikao vya Kisheria vilivyokaa kwa ngazi tofauti vya maamuzi, uongozi ulipokea rasmi barua ilikielekeza ujenzi huo ufanyike katika Mji wa Dongobesh kama ilivyokuwa mapendekezo ya Baraza la Waheshimiwa Madiwani. Mhe. Mandoo ametoa ufafanuzi wa kina kuwa taratibu zote za kisheria zimezingatiwa na taratibu za kuthamini mali na ardhi pia zimefuatwa na hivyo kuomba taratibu za ujenzi kuanza mara moja katika eneo husika.

Kaimu Mkurugenzi Ndugu Michael Faraay akipitia baadhi ya nyaraka zinazowasilishwa na kamati mbalimbali

Akitoa maagizo ya Serikali juu ya ujenzi huu wa makao makuu, Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Chelistino Mofuga ameshauri baraza la Madiwani kupitia Mwanasheria wa Halmashauri waweze kuzingatia taratibu zote za kimikataba kwa wananchi waliotoa ardhi yao ipatayo hekta 102.

Mhe. Chelestino Mofuga Mkuu wa Wilaya ya Mbulu akiwa katika kikao cha baraza akisoma kwa makini taarifa inayowasilishwa

Aidha Mhe. Mofuga ametumia fursa hiyo kukemea vikali taarifa zinazosambazwa kwenye Mitandao kuhusu maandamano na kuliagiza jeshi la Polisi kuanza doria mara moja, na kutoa onyo kali kwa watumishi watakaobainika kujihusisha na kuhamasisha maandamano hayo hatua kali zitachukuliwa juu yao.

baadhi ya Wataalam waliohudhuria kikao, kutoka kulia ni Afisa Mipango, Mweka hazina na Afisa Utumishi

Akihitimisha kikao hicho cha baraza, Mwenyekiti wa halmashauri awaomba wataalam kusimamia na kutekeleza ipasavyo maagizo waliyotoa.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.