• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

BILIONI 34.9 ZAPITISHWA NA BARAZA LA MADIWANI LA BAJETI KWA MWAKA WA FEDHA 2024/2025.

Kurushwa hewani: February 9th, 2024

Mbunge wa Mbulu vijijini Mheshimiwa Flatei Massay amemshukuru sana Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, kwa kuwapatia fedha nyingi Mbulu vijjijini ambazo zimeweza kutatua kero nyingi za wananchi.

Mbunge wa Mbulu vijijini Mhe. Flatei Massay akiongea na Baraza la Madiwani la bajeti ya fedha 2024/2025.

Hayo yalisemwa na Mbunge wa Mbulu vijijini mhe. Flatei Massay wakati akizungumza kwenye kikao cha baraza la madiwani cha Bajeti ya fedha 2024/2025, jana Februari 08, 2024, katika ukumbi wa Halmashauri, Dongobesh, Mbulu.

“kwa miaka mitatu na nusu hii tumepata jumla ya madaraja kumi na nane, Kwa upande wa maji tumepata jumla ya shilingi bilioni 41 ambayo tangu Mbulu imeanzishwa hatujawahi kupata fedha kama hizo. Na kwa upande wa sekta ya mifugo kwa mwaka jana na mwaka huu, tumepata majosho kumi na tano. Ni jambo la kumshukuru sana Mhe. Rais.” Alisema Mh. Flatei.

Kwa upande wa Katibu Tawala wa Wilaya, Paulo Bura amewataka TARURA na TANROADS ndani ya siku saba wawe wamelifanyia kazi dimbwi ambalo limesababisha vifo vya watu watatu (wanafunzi wawili na mtu mzima mmoja) katika kata ya Dongobesh kijiji cha Qaloda.

“Nimepeleka mwenyewe barua TANROADS na TARURA, ili waone nini ambacho kinaweza kufanyika kwa sababu hilo dimbwi lipo karibu sana na shule ya msingi Qaloda lakini pia lipo katikati ya makazi ya watu. Tumeshapoteza watatu hatutaki kupoteza tena wananchi zaidi.” Alisema Katibu Tawala Bura.

Aliendelea kusema kuwa anamuunga mkono Mh. Mbunge kwa kumshukuru Mhe. Rais kwa kuleta fedha nyingi za miradi ya maendeleo na uendeshaji, na kuwasihi wataalamu kusimamia miradi ikamilike kwa wakati na kwa kuzingatia thamani ya fedha.

 Naye Mwenyekiti wa Halmashauri, Joseph Mandoo, alisema kuwa Baraza la Madiwani la bajeti ya fedha 2024/2025, limepitisha mpango wa mapendekezo ya bajeti ambao ni bilioni 34,932,922,400.00.

Mhe. Mandoo alimpongeza mbunge wa Mbulu vijijini mhe. Flatei kwa namna alivyowawakilisha vizuri kwenye bunge la Jamuhuri ya Tanzania na kujibu kiu ya wana Mbulu, kuhakikisha mpango wa maendeleo wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu unafikiwa na bunge, na fedha zinaletwa. Huo wote pia ni mchango wake mkubwa, ambao unatufanya sisi Madiwani kwenye kata zetu tuwe na miradi mingi chini ya Mhe. Rais, Mbunge na mapato yetu ya ndani ya Hamashauri.   

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri, Abubakar Kuuli, alisema kuwa kwa mwaka wa fedha 2025/2026, wamejipanga vizuri kwenda kuongeza uwezo wa Halmashauri kujitegemea.

“Tunaenda kuweka miradi ya kimkakati, tutasimama kidogo kupeleka huko kwa wananchi, ili tuweke miradi ambayo hata siku serikali ikisema Halmashauri ijitegemee, angalau tutakwenda hata miezi nane.Tunaweza tukalipa mishahara,umeme,maji,tukaendesha magari yetu, tukakarabati, kila kitu angalau kwa miezi nane.Kwahiyo kuna mikakati mikubwa tumeiweka kwa ajili ya kuweka vitu ambavyo vitakuwa vinatuingizia mapato mengi Zaidi.” Alisema Kuuli.

Kamati ya Usalama ya Wilaya, wakisikiliza  hoja mbalimbali zilizokuwa zikitolewa kwenye Baraza hilo.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.