• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC MBULU AWATAKA WANANCHI WA ENDAMILAY WAKAPIGE KURA.

Kurushwa hewani: November 21st, 2024

Na, Ruth Kyelula Mbulu DC,

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Veronica Kessy, amewataka wananchi wa kata ya Endamilay, wale wote ambao wamejiandikisha katika kata hiyo ambao ni 7,720 wakapige kura ifikapo Novemba 27,2024.

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy akiwa na timu ya wataalamu toka Tume ya Taifa ya Umwagiliaji na wataalamu kutoka Halmashauri.

Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy wakati akizungumza na wananchi wa kata ya Endamilay katika ziara yake, Novemba 21,2024.

Aidha Mhe. Kessy aliwaambia wananchi hao ujio wa mradi mkubwa wa umwagiliaji unaotarajiwa kuanzishwa katika kata ya Endamilay, na kuwaambia waanze kujiandikisha katika ofisi za kata kama maelekezo yanavyowataka.

“Huu mradi utakuwa mradi mkubwa wa umwagiliaji kwa sisi wana Endamilay, huu mradi utakuwa ni mradi wa umwagiliaji ambapo wataalamu wataandaa mpango wa matumizi ya ardhi hiyo kwa ajili ya umwagiliaji, kwa sababu ni mradi wa maendeleo yetu sisi, ipo ardhi itahitajika kwa ajili ya kuchimba na kujenga bwawa ili tuweze kuyakinga na kuyakusanya maji na wataalamu hao wataanisha maeneo ya kujenga bwawa na maeneo ambapo mifereji itapita na ujumla wa eneo ambapo kitalimwa hicho kilimo cha umwagiliaji.” Alisema Mhe. Kessy.

Diwani wa Eshkesh Bajuta akizungumza na wananchi wa Endamilay mara baada ya Mkuu wa Wilaya ya Mbulu kuwasili

Aliendelea kusema kuwa kikubwa wananchi wanachopaswa kujua ni mradi huo ni kwa ajili ya maendeleo yao na kilimo kinaenda kuboreshwa, kwamba wanapokuwa na maji wanakuwa na uhakika wa kulima hata mara tatu kwa mwaka. Lakini pia wataalamu wa kilimo watawaambia ni mazao yapi yatafaa kwa wakati gani katika hiyo scheme ya umwagiliaji.

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy, akizungumza na wananchi wa Endamilay mara baada ya kuwasili

Kwa upande wa Fundi sanifu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa Wilaya ya Mbulu, Jackline Kalebu,alisema kuwa lengo la mradi huo ni kuendeleza na kuongeza uzalishaji wa kilimo cha uhakika, kuinua uchumi wa mkulima mmoja mmoja na Taifa kwa ujumla.

Fundi sanifu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji kwa Wilaya ya Mbulu, Jackline Kalebu akizungumza na wananchi wa Endamilay kuhusu mradi mpya wa umwagiliaji.

Alisema kuwa mradi huo wapo kwenye hatua za mwanzo, ya uibuaji wa miradi, kujua eneo lipi litafaa kwa ajili ya umwagiliaji. Lakini pia alisema sheria za Tume zinataka scheme zote za umwagiliaji zisajiliwe, ili zitambulike kisheria na wapate mradi huo.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.