• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU AONGOZA KAMATI YA SIASA KATIKA UKAGUZI WA MIRADI YA MAENDELEO HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU

Kurushwa hewani: December 11th, 2025

Na. Nashon Biseko, Mbulu DC

Kamati ya Siasa Wilaya ya Mbulu kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) ikiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu, Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mhe. Dkt Emmanuel Nuwas, Mbunge kutoka Jimbo la Mbulu Mjini Mhe. Zacharia Isaay, Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mhe. Yeconia Maleyecky kwa kushirikiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndugu Abubakar Kuuli na Timu ya Watalaamu kutoka Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imetembelea Miradi mbalimbali inayoendelea katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu mapema leo tarehe 11.12.2025 ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ahadi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan.

Aidha Timu hii imekagua maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Barabara ya Karatu-Mbulu-Hydom-Sibiti River- Lalago-Maswa wa kiwango cha Lami wenye urefu wa Kilometa 389, Mradi unaendelea vizuri ikiwa kipande cha Mbulu Mji hadi Garbabi chenye urefu wa Kilometa 25 chenye thamani ya Shilingi 36,458,655,171/=Kinaendelea na ujenzi ikitegemewa kukamilika kwa ujenzi huu ifikapo Machi 2026, Ikiwa chanzo cha fedha za Mradi huu ni fedha kutoka Serikali kuu.

Pia Timu hii imekagua Mradi wa Madarasa Mawili na vyoo unaoendelea katika Shule ya Msingi Dongobesh Chini unaolenga kuondoa tatizo la ukosefu wa madarasa ya wanafunzi wenye Mahitaji Maalumu, Ukarabati wa Madarasa 8 na Ofisi 3 ikiwa Mradi huu unathamani ya Shilingi 163,600,000/= ambao chanzo chake ni fedha kutoka Serikali kuu kupitia Program ya BOOST.
Sambamba na Miradi hii timu hii imefika pia katika Ujenzi wa Kituo cha Afya Dinamu – Mamagi ambacho kinahusisha Majengo ya Wagonjwa wa nje, Kichomea taka cha kisasa na Choo cha Wagonjwa wa nje, Mradi huu unagharimu kiasi cha 250,000,000/= hadi kukamilika kwake.


Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DK NUWAS ATANGAZA TABASAMU KWA WATU WENYE MAHITAJI MAALUM

    December 24, 2025
  • DKT. NUWAS AMEPONGEZA NA KUSISITIZA KASI KATIKA UJENZI WA MIRADI

    December 23, 2025
  • DK.NUWAS MBUNGE MBULU VIJIJINI ARIDHISHWA NA KASI YA UJENZI WA SHULE YA AMALI HARSHA

    December 17, 2025
  • WAKUU WA IDARA, VITENGO NA MAAFISA BAJETI WAASWA KUTENGENEZA BAJETI INAYOLENGA MAHITAJI YA JAMII

    December 15, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.