• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DC SEMINDU AWATAKA MADIWANI KUITUNZA THAMANI WALIOPEWA NA WANANCHI

Kurushwa hewani: December 2nd, 2025


Na. Nashon Biseko, MDC

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe. Michael Semindu amewataka Madiwani kuitunza thamani waliopewa na Wananchi kwani thamani hii ni deni la kuaminiwa katika utatuzi makini wa changamoto zao na kuwapelekea Maendeleo.

Amesema hayo katika kikao cha kwanza cha Baraza la Madiwani kilichofanyika 02/12/2025 Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kilichohusisha Uapisho wa Waheshimiwa Madiwani, Uchaguzi wa Mwenyekiti na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri, kuunda kamati za kudumu za Halmashauri, Kupokea taarifa za utekelezaji wa shughuli za Halmashauri kwa kipindi cha Julai hadi Novemba na kupitisha ratiba ya vikao vya Halmashauri.

Aidha Diwani wa Kata ya Haydom Mhe. Yeconia Maleyecky kupitia tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) amechaguliwana Baraza la Madiwani kuwa Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu baada ya kupata kura zote za ndio 24 zilizopigwa na Wajumbe wa baraza hilo, Pia Diwani wa Kata ya Masqaroda Mhe.Petro Slaa Tarimo ameibuka mshindi kwa kura zote za ndio 24 kuwa Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Pia Mhe. Semindu amelitaka Baraza la Madiwani kuhakikisha wanawazingatia vijana katika ajira rasmi na zisizo rasmi, kuwawezesha kibiashara, kuwasikiliza na kuwashirikisha katika maamuzi ili kujenga taifa imara.

“Ndugu zangu niwakumbushe katika taifa letu jamii kubwa ya Wapiga kura wetu kati ya asilimia 67 hadi 70% ni vijana waliozaliwa enzi za Mzee Mwinyi akiwa anatoka madarakani kwahiyo tunapopanga mipango yetu kama Halmashauri ni lazima tuwazingatie katika mahitaji, Matakwa, nafasi, maombi muhimu, ajira rasmi na zisizo rasmi, kutambuliwa, kushauriwa katika biashara na miradi, kusikilizwa na kupewa kipaumbele katika kazi za manunuzi ili tuwe na uhakika wa chaguzi zetu zijazo”. Alisema Semindu

Pia Mbunge wa Jimbo la Mbulu Vijijini Mhe. Dkt Emanuel Nuwas amewapongeza Madiwani wote kwa kula kiapo tayari kwa kuanza majukumu yao ya kuwatetea wananchi sambamba na kumpa ushirikiano mhe. Rais, Mawaziri, Wabunge na viongozi wote ili kufikia malengo yetu.

“Naomba tumpe ushirikiano Mhe. Rais, Baraza la Mawaziri, Mbunge, Madiwani na Viongozi wengine ili waweze kutekeleza majukumu yao katika kuwatetea Wananchi, kuwaletea maendeleo, kusimamia amani na kuhakikisha tunajenga amani ya Tanzania, utu wa Mtanzania hasa katika jimbo la Mbulu Vijijini”. Alisema Nuwas

Aidha Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Mhe. Yeconia Maleyecky amesisitiza suala la ushirikiano kwani kwa kushirikiana kwa Pamoja itatusaidia kufanya kazi zetu vizuri na kwa ufanisi mkubwa.

“Jahazi hili ni kubwa tunahitaji ushirikiano ili kufanikiwa kwani hakuna mtu anayejua kilakitu lakini tukiungana kwa Pamoja kila mtu akatoa mchango wake hakika tutafikia malengo yetu na kwa ufanisi kama Halmashauri”. Alisema Maleyecky

Pia Mkurugenzi wa Halmashauri ambaye ni Katibu wa Baraza la Madiwani Ndg. Abubakary Kuuli amelishukuru Baraza na uongozi uliopita kwa ushirikiano mkubwa na amelitaka baraza jipya na uongozi wake kutoa ushirikiano wa dhati ili kufikia malengo na mafanikio ya Jimbo la Mbulu Vijijini.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU AWATAKA MADIWANI KUITUNZA THAMANI WALIOPEWA NA WANANCHI

    December 02, 2025
  • DR NUWAS AZINDUA RASMI ZOEZI LA MRADI WA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA UMWAGILIAJI MBULU DC

    November 28, 2025
  • DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

    November 24, 2025
  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.