• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

DR NUWAS AZINDUA RASMI ZOEZI LA MRADI WA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA UMWAGILIAJI MBULU DC

Kurushwa hewani: November 28th, 2025

Na. Nashon Biseko


Serikali kupitia tume ya Taifa ya umwagiliaji katika kutekeleza ahadi ya Mheshimiwa Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt Samia Suluhu Hassan ya kuchimba visima virefu vya umwagiliaji kwa ajili ya kuwasaidia wakulima wadogo wadogo wa mazao ya nafaka na mbogamboga imeanza kutekeleza ahadi yake katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.


Mradi huu wa PforR (Program for Result) umezinduliwa mapema hii leo na Mbunge wa Jimbo la  Mbulu Vijijini  Mhe. Dkt. Emmanuel Nuwas katika kata ya Haydom ukihudhuriwa na Kaimu Mkurugenzi Mtendaji ndugu Juma Kilimba, Timu kutoka Ofisi ya Mkurugenzi Mtendaji Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na Timu ya watalamu kutoka Tume ya umwagiliaji ukilenga kuwainua wakulima katika kukuza mapato, kupunguza adha ya upatikanaji wa chakula cha uhakika na kuongeza thamani ya ardhi hasa kwenye maeneo ya mradi bila mkulima kuchangia gharama yoyote pale anapo tumia maji ya mradi huo.


Mradi huu umelenga kila Halmashauri kuchimbiwa visima 5 vyenye urefu zaidi ya Mita 170 ili kuhakikisha upatikanaji wa maji yenye uhakika yatakayotumika mwaka mzima bila upungufu wowote ambapo kata ya Haydom katika Kijiji cha Haydom, Kata ya Maretadu katika Kijiji cha Maretadu chini, Kata ya Masqaroda katika Kijiji cha Masqaroda, Kata ya Dinamu katika Kijiji cha Muslur na Kata ya Dongobesh katika Kijiji cha Qaloda zitanufaika ambapo kila kisima kitakuwa na uwezo wa kumwagilia maji zaidi ya Hekari 40.


Aidha Mhe. Nuwas amawataka wananchi kutumia fursa hii kujiongezea kipato cha uhakika kupitia kilimo na kukuza Uchumi sambamba na kuwataka Wananchi kuwa na utulivu pia kuepuka vurugu zisizo kuwa na tija kwani uwepo wa vurugu huchangia maendeleo kurudi nyuma badala yake kujikita katika shughuli za maendeleo ikiwa kuna changamoto ziwasilishwe katika mamlaka husika na kutatuliwa.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DR NUWAS AZINDUA RASMI ZOEZI LA MRADI WA UCHIMBAJI WA VISIMA VYA UMWAGILIAJI MBULU DC

    November 28, 2025
  • DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

    November 24, 2025
  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.