• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Dongobesh yapandwa jumla ya miti 412

Kurushwa hewani: April 25th, 2023

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Charles Makongoro akipanda mti wa Kukumbukumu

Kufuatia maelekezo ya serikali kuwa maadhimisho ya sherehe za Miaka 59 ya Muungano kwa mwaka huu zifanyike katika ngazi ya Mikoa nchini kote, Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mhe. Charles Makongoro Nyerere leo tarehe 25 Aprili, 2023 ameungana na viongozi mbalimbali wa Mkoa akiwemo Katibu Tawala wa Mkoa, Viongozi wa Ulinzi na Usalama wa Mkoa na wananchi wa Wilaya ya Mbulu kushiriki zoezi la Upandaji miti 154 kwenye eneo la Hospitali ya Wilaya ya Mbulu na eneo la jengo la utawala la Halmashauri Mjini Dongobesh miti 258 hivyo kufanya jumla ya miti 412.


Katibu Tawala Mkoa wa Manyara Bi.Karoline Albert Mthapula akipanda mti wa kumbukumbu

Lengo la kuadhimisha maadhimisho katika ngazi ya mikoa ni kuwapa fursa wananchi kuelewa kwa undani maana ya Muungano ulioasisiwa na waasisi wetu. Katika Hafla hiyo Mhe. Mkuu wa Mkoa amesema amefarijika sana na Muitikio wa wananchi wa eneo hilo kushiriki zoezi la upandaji miti. “Binafsi nimefarijika sana kuona muitikio wenu katika shughuli hii muhimu kwa ustawi wa nchi yetu na Maisha yetu”. Alisema Mhe. Makongoro.



Bi.Janeth Mayanja Mkuu wa Wilaya ya Hanang' aliyewakilisha Wakuu wa Wilaya zingine akipanda Mti wa Kumbukumbu

Aidha, katika taarifa yake Kaimu Mganga Mkuu wa Halmashauri Bi. Pellagia Shirima amesema Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ilianza kujengwa mwezi Machi, 2019 baada ya kupata fedha za ujenzi kutoka Serikali Kuu. Katika Kipindi cha mwaka 2018/2019 hadi 2022/2023 Halmashauri ilipokea fedha Shilingi Bilioni 2.76 kwaajili ya ujenzi wa majengo ya Hospitali ambapo shilingi Bilioni 2.69 ni kutoka serikali kuu na shilingi Milioni 70 ni fedha za Mapato ya ndani. Mapokezi ya fedha hizi yamewezesha kujengwa kwa majengo 12 ikiwemo nyumba ya mtumishi ya 3 in 1 na Hospitali ilishaanza kutoa huduma tangu tarehe 03 Aprili, 2023

Wataalamu wa Idara ya Afya Hospitali ya Wilaya Mbulu Dongobesh wakiwa katika picha ya pamoja  Mgeni rasmi na Viongozi mbalimbali.

RC Makongoro ametoa wito kwa uongozi wa Halmashauri hiyo kuhakikisha miti yote iliyopandwa katika eneo la Hospitali inatunzwa vizuri na pia amesisitiza uhamasishaji wa upandaji miti katika maeneo mbalimbali ya Halmashauri zote za Mkoa wa Manyara unaendelea ili kufikia lengo la upandaji miti 1,500,000 kwa mwaka kwa Mkoa mzima.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.