• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Jafo apongeza Uongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa usimamizi makini wa ujenzi wa Jengo la Utawala na Hospitali ya Wilaya

Kurushwa hewani: September 12th, 2019

Tumewaletea fedha kwa ajili ya ujenzi wa jengo la Utawala lakini kukawa na mivutano ya wapi pangefaa kuwa Makao Makuu ya Wilayah ii ambapo ndipo Jengo hili lilitakiwa kujengwa: Ninachofurahi kuona leo ni kuwa mlipokea maelekezo na jengo limejengwa katika eneo la Dongobesh ambapo ni katikati ya Wilayah ii na rahisi kwa wananchi kufika kutoka kila pande za Wilaya hii”Alisema Jafo.

Muonekano wa Jengo jipya  la Utawala halmshauri ya Wilaya ya Mbulu Ukiendelea

Waziri Jafo ameyasema hayo wakati alipokuwa kwenye ziara ya kikazi katika Mkoa wa Manyara na kutembelea ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Wilaya ya Wilaya ya Mbulu linalojengwa katika eneo la Dongobeshi.

Kwa kujenga jengo hili Dongobesh mmewatendea haki Wananchi wa Mbulu kwa kuwa mmewapunguzia gharama ya muda na umbali ambao kwa muda mrefu imewagharimu kufuata huduma za Muhimu katika Ofisi za Serikali aliongeza Jafo.

“Nimeridhishwa na ujenzi unaoendelea na nimefurahi kuona mmeshakamilisha majengo ya chini, nimeridhishwa na ubora wa Jengo pamoja na gharama nafuu toka kwa Mkandarasi Mzinga holding Company pamoja na Mhandisi Mshauri Dar es salaam Institute of Technology (DIT) niseme kazi nzuri na hongerni sana ” alimalizia Jafo.

Akiwasilisha ripoti ya ujenzi wa Jengo la Halmashauri Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri hiyo Hudson Kamoga amesema ujenzi wa jengo la Utawala unafanyika kwa awamu tatu na katika awamu ya kwanza inahusisha ujenzi wa jengo la mbele ambalo litagharimu tsh Bil 4.7 awamu ya pili itahusisha ujenzi wa ukumbi, ghala na mgahawa na awamu ya tatu utahusisha ujenzi wa pande mbili za nyuma ya jengo.

Kamoga aliongeza kuwa Jengo hilo la Utawala limekadiriwa kujengwa kwa gharama ya Tsh 6.7 ambapo gharama za ujenzi ni Bil 6.3 na gharama sa mhandisi mshauri ni mil 351 huku gharama sa kuandaa mchoro zikigharimu tsh mil 30 tu.

Ujenzi wa Jengo la Halmashauri ya Mbulu umetokana na kugawanyika kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na kupatikana kwa Halmashauri ya Mji wa Mbulu pamoja na Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu na kupelekea Mbulu Mji kubakia Mjini na Halmashauri ya Wilaya kuhamia katika eneo la Dongobesh ambapo ujenzi huo unaendelea.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.