• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Kamaoga aongoza mamia ya Watumishi kupima afya sherehe za Mei Mosi

Kurushwa hewani: May 2nd, 2018

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ndug Hudson Kamoga ameongoza mamia ya watumishi walioojitokeza kuuadhimsha sherehe za Mei Mosi Wilayani mbulu zilizofanyika katika uwanja wa shule ya msingi Haydom na kupambwa na maonesho mbalimbali toka makundi tofauti tofauti kama yalivyoandaliwa.

mamia ya wananchi na watumishi waliojitokeza kwa wingi katika viwanja vya shule ya msingi Haydom

amewataka watumishi kutokuwa waoga katika kuchunguza afya zao mara kwa mara ili kueweza kuepukana na magonjwa nyemelezi. Akiwakumbusha kufanya mazoezi kila jumamosi sio kusubiri mpaka mwisho wa mwezi, watumishi wajenge mazoea yakufanya mazoezi.

“nikuagize Mganga Mkuu kupitia mashindano ya mchezo wa mpira yanayoandaliwa na Mkurugenzi yatakayofanyika hapa haydom kuanzia tarehe 13-20/05/2018 hakikisha kunakuwa na banda la kupima afya ili kutoa fursa kwa vijana wetu watakaoshiriki mashindano hayo kupima na kujua hali ya afya zao” alisema Kamoga.

kikundi cha kwaya toka chama cha Walimu kikitoa burudani viwanjani hapo

Aidha akiongea mbele ya Watumishi waliojitokeza katika Viwanja hivyo Mkurugenzi Mtendaji amewakumbusha watumishi kuwa wabunifu na kuonesha ufanisi zaidi katika maeneo yao ya kazi ili kutoa huduma inayostahili pale mwananchi anapokuwa akihitaji huduma na sio kukaa na kusubiri sherehe za mei mosi kuja kupokea zawadi pasipo kuonesha uhodari wako katika eneo lako la kazi.

watumishi mbalimbali waliojitokeza wakiendelea kufurahia maonesho viwanjani hapo

Wakitoa salamu za pongezi wawakilishi wa vyama vya wafanyakazi wameipongeza serikali ya awamu ya tano kwa kuendelea kuonesha ushirikiano kwa watumishi na kuiomba serikali kutatua changamoto zinazowakabili watumishi na kuhaidi kumpatia ushirikiano wa kutosha Mkurugenzi kila anapohitaji kutoka kwao.

mmoja ya wafanyakazi hodari akipokea zawadi toka kwa mgeni rasmi

Aidha mgeni rasmi katika sherehe hizo katibu Tawala Msaidizi ambaye alimwakilisha Mkuu wa Wilaya ndugu kaogo amewataka watumishi kuendelea kushikamana na kuchapa kazi kwa bidii na kutanguliza maslahi ya Taifa mbele kwa kuonesha uzalendo na sio kukuaa vijiweni na kuilalamikia Serikali pasipo kuonesha ufanisi wa kazi zao.

mgeni rasmi ndugu Kaogo akiongea na wafanyakazi waliopo kwenye viwanja hivyo

Kaogo amesema serikali ya awamu ya tano iko makini na inaendelea kutatua changamoto zote zinazokuwa zinawakabili watumishi na kuaidi kutoa ushirikiano kupitia ofisi ya Mkuu wa Wilaya pale watumishi wanapokuwa wanahitaji kupewa msaada wowote.

wafanyakazi mbalimbali wakifurahia maonesho yanayoendelea viwanjani hapo

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.