• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA FEDHA YATEMBELEA MIRADI ROBO YA TATU YA MWAKA 2023/2024.

Kurushwa hewani: April 9th, 2024

Na Ruth Kyelula, Mbulu - DC

Mwenyekiti wa Halmashauri Joseph Mandoo, ametoa wito kwa viongozi na wananchi wanaosimamia miradi ya Halmashauri ya Wilaya, wasimamie na wafuatilie miradi kwa ubora na miradi ikamilike kabla ya mwaka wa fedha 2023/2024 kuisha.

Hayo yalisemwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu, Joseph Mandoo, wakati wa ziara ya ukaguzi wa miradi iliyofanyika Qamtananat, Maretadu juu, Maretadu, Masakta, Dinamu, Mguruchan, Shule ya sekondari Dr. Olsen, Haydom na Endabash, April 3 na 4, 2024, Mbulu mkoani Manyara.

Mwenyekiti wa Halmashauri ya wilaya ya Mbulu Joseph Mandoo (wa pili kulia) akikagua miradi kata ya Maretadu akiwa na walaamu wa Halmashauri.

“Ni wajibu wetu kuhakikisha miradi hii inakamilika kabla ya terehe 30 mwezi wa tano,2024 ili majengo haya yatumike kwa makusudi yaliyolengwa, na pia yatunzwe kwa vizazi vijavyo. Kimsingi nampongeza Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wetu wa jimbo kwa namna wanavyo endelea kuhakikisha jimbo letu na Halmashauri yetu inapata fedha nyingi. Lakini pia niwapongeze viongozi wa ngazi za vijiji na kata ambao ni wasimamizi wa miradi hiyo kwa sehemu kubwa kazi zimefanyika vizuri, ninawapongeza pia lakini wito wangu waendelee kusimamia vizuri na kuhakikisha mikataba hiyo tarehe 30 mwezi wa tano majengo yanakamilika.” Alisema Mandoo.

Madiwani, wataalamu pamoja na wananchi wa Qamtananat wakikagua mradi wa Zahanati katika kijijji hicho. 

Aidha alisema malengo makuu ya ziara hiyo ya kamati ya fedha ni kuhakikisha wanakagua fedha ambazo wameletewa na serikali, wanaangalia ubora wa majengo, wanaangalia thamani ya fedha ambazo zimeletwa lakini pia na kuhakikisha miradi hii inakamilika kwa wakati na ubora unaotakiwa.


Kwa upande wa Afisa Mipango wa Halmashauri Haygaru Karengi amesema kuwa wananchi wanatakiwa waelewe kwamba miradi hii ni kwa ajili ya faida yao na ni kwaajili ya huduma ya jamii kwa jamii inayozunguka miradi hiyo, lakini pia wanatakiwa kujua serikali imeleta fedha nyingi kwa ajili ya kusogeza huduma karibu na wananchi, kwa hiyo wanatakiwa waweze kuimiliki miradi ile, ili iweze kuleta faida na tija ambayo serikali imekusudia.

Kamati ya fedha ikikagua miradi katika kata ya Maretadu.

Naye Injinia wa Halmashauri, Joseph Muna, alisema kuwa changamoto kubwa alizoziona karibu kwenye miradi mingi ni mafundi kuwa na nguvukazi ndogo, yani kutokuwa na vibarua wa kutosha na kwa maana hiyo spidi ya kazi inakuwa ndogo, pia alibainisha kuwa kamati zinazohusika na mapokezi kutokuwa makini na mapokezi ya vifaa.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.