• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • WAHESHIMIWA MADIWANI
    • MADIWANI VITI MAALUM
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 MBULU DC

Kurushwa hewani: January 19th, 2026

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imeendelea kutekeleza azma ya Serikali ya kuwawezesha wananchi kiuchumi kwa kutoa mikopo ya Asilimia 10 ya mapato ya ndani kwa vikundi vya wanawake, vijana na watu wenye ulemavu.

Katika awamu hii, jumla ya Shilingi 274,956,399.76 zimetolewa kwa vikundi 44, ikiwa ni sehemu ya mkakati wa Halmashauri wa kukuza shughuli za kiuchumi, kuongeza kipato cha kaya na kuchochea maendeleo ya kijamii na kiuchumi kwa wananchi wa Wilaya ya Mbulu.

Akizungumza wakati wa zoezi la utoaji wa mikopo hiyo, uongozi wa Halmashauri umeeleza kuwa mikopo ya Asilimia 10 inalenga kuwajengea uwezo wananchi kushiriki kikamilifu katika shughuli za uzalishaji mali, ikiwemo kilimo, ufugaji, biashara ndogondogo na shughuli nyingine za kiuchumi.

Aidha, wanufaika wa mikopo hiyo wameaswa kutumia fedha walizopokea kwa malengo yaliyokusudiwa, kusimamia miradi yao kwa uadilifu na kuhakikisha wanarejesha mikopo kwa wakati ili kutoa fursa kwa vikundi vingine kunufaika na mpango huo muhimu.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu itaendelea kutoa elimu kwa vikundi kuhusu usimamizi wa fedha, uendeshaji wa miradi na umuhimu wa nidhamu ya urejeshaji wa mikopo, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuhakikisha mikopo hiyo inaleta matokeo chanya na endelevu kwa maendeleo ya wananchi.

Mpango wa mikopo ya Asilimia 10 ni utekelezaji wa sera ya Serikali ya Awamu ya Sita inayolenga kuwawezesha wananchi kiuchumi, kupunguza umaskini na kujenga jamii yenye ustawi na maendeleo endelevu.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA USAFI JUMAMOSI YA MWISHO YA MWEZI November 28, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • WANAWAKE, VIJANA NA WATU WENYE ULEMAVU WANUFAIKA NA MIKOPO YA ASILIMIA 10 MBULU DC

    January 19, 2026
  • WANANCHI WAASWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI YA UGONJWA WA UKIMWI

    December 01, 2025
  • MADIWANI MBULU DC WAASWA KUZINGATIA MAADILI YA VIONGOZI WA UMMA

    December 03, 2025
  • WANAMICHEZO WAPOKELEWA KWA SHANGWE MBULU DC

    December 03, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

DC SEMINDU AAGIZA WATENDAJI KUHAKIKISHA WANASIMAMIA UTOAJI WA LISHE KILA KIJIJI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.