• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mita yaridhishwa na ujenzi wa Hospitali Mbulu

Kurushwa hewani: March 13th, 2020

Mwenyekiti wa Kamati akipanda mti wa matunda kama kumbukumbu


Muonekano wa baadhi ya majengo ya Hospitali ya Wilaya ya Halmashauri ya Mbulu.


Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe Mwita Waitara akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.

Naibu Waziri Manejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora Mhe Mary Mwanjelwa akiteta jambo na Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga.

Mbunge wa Manyoni Mashariki Mhe Daniel Mtuka(aliyeshika simu), Mbunge wa jimbo la Kilolo Mhe Venance Mwamoto(wa tatu kutoka kushoto), Mbunge wa jimbo la Kyerwa Mhe Innocent Bilakwate(wa pili kutoka kulia) pamoja na watumishi wa Halmashauri

Mkurugenzi Mtendaji Hudson Kamoga akisoma taarifa ya Ukenzi wa Hospital ya Wilaya mbele ya Kamati.


Mwenyekiti wa Kamati Dkt Jason Rweikiza na Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Hudson Kamoga na kamati wakati wa ukaguzi.




**********************************


Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, imefanya ukaguzi na kuridhishwa na ujenzi wa Hospitali ya Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, inayojengwa katika kata ya Dongobesh wilayani Mbulu.

Akieleza kuridhishwa kwake na hatua ya ujenzi na matumizi sahihi ya fedha za Serikali, Mwenyekiti wa kamati hiyo Dkt, Jason Rweikiza amesema Kamati ya Bunge imeridhishwa na hatua ya ujenzi kwa kuzingatia ubora na thamani ya fedha zilizotolewa na Serikali, na kuitaka Ofisi ya Rais TAMISEMI, kuhakikisha fedha zilizotengwa kwenye bajeti ya mwaka huu kwa ajili ya Hospitali hiyo zinatolewa haraka ili kukamilisha miundombinu iliyobaki ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma iliyokusudiwa.

Kwa upande mwingine, Kamati imempongeza Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Hudson Kamoga na timu yake yote ya wataalam kwa usimamizi mzuri na kumtaka kuhakikisha anasimamia kikamilifu ukamilishaji wa Hospitali hiyo mara fedha zitakapoingia.

Wakati huo huo Naibu Waziri wa TAMISEMI, Mwita Waitara ameihakikishia Kamati hiyo kuwa, Wizara ya TAMISEMI inafuatilia kwa makini ujenzi wa Hospitali zote 67 za Wilaya zinajengwa kwa awamu ya kwanza kwa ukaribu na kuhakikisha zinaanza kufanya kazi, pamoja na kuhakikisha ushauri wote uliotolewa na Kamati unazingatiwa na kufanyiwa kazi.

Naye Mganga Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Dkt Chitopela amesema, Hospitali hii ni tegemea kubwa kwa wakazi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu kwa kuwa inategemea kuhudumia wakazi zaidi ya 220,000, na kupunguza adha kubwa ya wananchi wanao safiri umbali mrefu kufuata huduma ya afya.

Kwa upande wa wananchi wa Mbulu wamemshukuru sana Mhe Rais Dkt John Pombe Magufuli kwa kuwakumbuka na kuwaondolea adha kubwa katika sekta ya afya na hakika wamepata mkombozi na kiongozi anayejali maisha yao.



Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.