• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA LISHE YAKAA KIKAO CHA ROBO YA KWANZA 2024.

Kurushwa hewani: October 24th, 2024

Na, Ruth Kyelula.

Afisa Lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Lutengano Emmanuel amesema kuwa kwa kipindi cha mwezi July mpaka September watoto wenye utapiamlo mkali waliolazwa walikuwa kumi na wote walipatiwa matibabu na kurudi nyumbani na wazazi wao kupewa unasihi namna ya kuandaa lishe bora kwa ajili ya watoto hao ili waweze kupona utapiamlo na kurejea kwenye hali yao ya kawaida.

Afisa Lishe Lutengano Emmanuel akieleza kamati shughuli mbalimbali za lishe.

Hayo yalisemwa na Afisa lishe wakati wa kikao cha kamati ya lishe cha robo ya kwanza, kikielezea kazi mbalimbali zilizofanywa na Maafisa lishe kwa kipindi cha mwezi July hadi September, 2024.Kikao hicho kilifanyika katika ukumbi wa Halmashauri Octoba 24,2024.

Afisa Lishe wa Willaya Jackline David (wa kwanza kushoto) na Kaimu Mkurugenzi Juma Kilimba (wa kwanza kulia) wakifuatilia kwa makini wasilisho la Afisa Lishe.

“Miongoni mwa shughuli zilizotekezwa ni pamoja na uchunguzi wa hali ya lishe ambapo jumla ya watoto elfu moja mia moja arobaini na tisa (1149) waliolazwa wodini kumi walikuwa na utapiamlo mkali ambao ni sawa na asilimia 0.008 na saba waliokuwa na utapiamlo wa kadri ni asilimia 0.006 na waliokutwa na ukondefu ni asilimia 0.1, ambao ni watoto mia moja kumi nanne (114) kati ya elfu moja mia moja arobaini na tisa (1149). Lakini pia matibabu yalifanyika wodini kwa watoto wenye utapiamlo mkali.” Alisema Lutengano.

Wajumbe wa kamati ya lishe wakisikiliza repoti ya shughuli za lishe kwa mwezi July mpaka Septemba.

Aliendelea kusema kuwa, mbali na hilo waliweza kutoa matone ya vitamini A, ambapo jumla ya watoto elfu thelathini na tisa mia saba themanini na sita (39786) sawa na asilimia mia waliweza kuhudumiwa.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.