• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA LISHE YAKAA KIKAO CHA ROBO YA KWANZA

Kurushwa hewani: December 18th, 2024

Na, Ruth Kyelula, Mbulu - DC.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu, Paulo Bura ambae amemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, amewataka Watendaji wa Kata, wazingatie maadhimisho ya siku za Lishe katika vijiji vilivyomo katika Kata zao ili kuweza kuleta tija katika kutekeleza afua za Lishe na jamii iweze kupata elimu juu ya umuhimu wa Lishe bora katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Katibu Tawala wa Wilaya, Paulo Bura akizunguza na wajumbe wa kikao cha Lishe.

Hayo yalisemwa na Katibu Tawala wa Wilaya ya Mbulu, Paulo Bura, wakati wa ufunguzi wa kikao cha Lishe cha robo ya kwanza ya 2024/25 katika ukumbi wa Halmashauri Desemba 18, 2024.Ambapo Watendaji wa Kata na baadhi ya Wataalamu walishiriki kikao hicho.

Aidha Katibu Tawala ameiomba ofisi ya Mkurugenzi kukamilisha asilimia ya fedha za Lishe ambapo mpaka sasa imetolewa asilimia 80.81. Ahakikishe inafika asilimia 100.Ili Halmashauri iweze kupanda katika shughuli zake za Lishe.

Watendaji wa Kata wakifuatilia kikao cha Lishe cha robo ya kwanza.

“Januari tufanye kikao mapema, ili tuone mwajiri kwenye kipengele cha fedha ametoa? wale wenye nyekundu wameondoa? naomba kama ulikua hujaingia kwenye nyekundu usiingie, ninachosisisitiza hapa jambo hili liwe sehemu ya maisha yetu ya kila siku, tufuatilie kama tunavyofuatilia ratiba za vitu vingine.” Alisema Bura.

Kwa upande wa Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Joseph Sambo amesema kuwa wamepokea maelekezo na wataenda kuyafanyia kazi kikamilifu ikiwemo na utengaji wa fedha katika robo ya kwanza zifike asilimia mia moja kwa shughuli za Lishe.

Naye Afisa Lishe wa Wilaya Jackline David, ameomba walezi wa Kata na Watendaji wa Kata wasimamie Kata zao ili kila robo vijiji vyote viweze kufanya maadhimisho ya siku za Lishe.Ili elimu ya Lishe, Afya na mambo ya chanjo inaifikia jamii kwa ukubwa.


Afisa Lishe wa Wilaya, Jackline David akiwasilisha shughuli mbalimbali za Lishe zilizofanyika kwa kipindi cha robo ya kwanza.

Aidha Afisa Lishe wa Wilaya ametoa wito kwa walezi wa Kata, Watendaji wa Kata na Vijiji washirikiane katika masuala mazima ya Lishe katika jamii zinazotuzunguka.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.