• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA LISHE YAKAA KIKAO CHA ROBO YA PILI.

Kurushwa hewani: January 29th, 2024

Na, Ruth Kyelula – Afisa Habari Mbulu DC.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli, amewaasa wamama wajawazito kuzingatia lishe bora ili kumjenga mtoto aliyeko tumboni aje kuwa bora kwa taifa la kesho.

Hayo yalisemwa na Mkurugenzi, wakati akifungua kikao cha kamati ya lishe cha robo ya pili kuanzia Oktoba hadi desemba 2023. Kikao hicho kilifanyika leo katika ukumbi wa Halmashauri Januari 29, 2024.

“Kwahiyo suala la lishe tunavyokaa hapa sisi, tunajadiliana mustakabali wa maendeleo ya Halmashauri yetu. Watoto wetu wa baadae waje kuwa na akili, wafanye mambo makubwa kwa ajili ya Nchi yetu.” Alisema Mkurugenzi wa Halmashauri.

Kwa upande wa Mkuu wa Kitengo cha lishe wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Jackline David amesema kuwa kwa kipindi cha Oktoba hadi Desemba 2023, walipata jumla ya watoto wenye utapiamlo mkali saba (7) ambao walilazwa katika kituo cha Afya Dongobesh kwa ajili ya matibabu Zaidi.

Baadhi ya wajumbe wakiwa kwenye kikao cha Lishe .

Aidha bi. Jackline alisema kwa kipindi cha robo ya pili (Oktoba hadi Desemba 2023) waliweza kusambaza matone ya vitamini A, dawa za kutibu minyoo ya tumbo katika vituo vyote 35 vya kutolea huduma katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, waliweza pia kufanya uchunguzi wa hali ya lishe, ambapo jumla ya watoto 27456 walifanyiwa uchunguzi wa hali ya lishe, kati yao 7 walikuwa na utapiamlo mkali na 10 walikuwa na utapiamlo wa kadri.

Aliendelea kusema kuwa kwa kipindi hicho hicho cha robo ya pili waliweza kutoa madini chuma kwa akina mama wajawazito ambapo jumla ya akina mama wajawazito 13104 kati ya 13513 walihudhuria kliniki sawa na asilimia 96.97% walipata vidonge vya madini chuma (FEFO).

Naye Afisa Lishe wa Wilaya, Lutengano Emmanuel, alisema zipo changamoto mbalimbali wanazozipitia ikiwemo muitikio mdogo kwa Watendaji juu ya kuadhimisha siku ya afya na lishe katika vijiji vyao, ushiriki mdogo wa wanaume katika malezi ya watoto, kutokana na kujikita katika ulevi uliokithiri pamoja na baadhi ya wazazi kutozingatia matibabu na kuwa na imani potofu kuwa wamelogwa na hivyo kufanya watoto wenye utapiamlo mkali kutopona kwa wakati na wengine kurudia katika hali ya utapiamlo mkali.   

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.