• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KAMATI YA SIASA YA MKOA WA MANYARA YAKAGUA MIRADI YA MAENDELEO YENYE THAMANI YA BIL. 1.5

Kurushwa hewani: May 31st, 2024

Na, Ruth Kyelula, Mbulu – DC.

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Peter Toima amesema kuwa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Manyara hakiwezi kukaa kimya kwa kipindi cha miaka mitano badala yake kimefanya ziara ya ukakguzi wa miradi ili kuona Ilani ya uchaguzi inayootekelezwa kwa vitendo, ili waweze kugusa ustawi, maendeleo na mabadilliko ya maisha kuwa bora kwa wananchi wanaowaongoza.

Hayo yalisemwa May 28,2024, na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Manyara, Peter Toima, katika ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, wakati kamati ya siasa mkoa ikihitimisha ziara yao ya siku sita ya ukaguzi wa utekelezaji wa ilani ya uchaguzi katika Mkoa wa Manyara.

Kamati ya siasa Mkoa wa Manyara walipotembelea Daraja lililopo Garkawe kata ya Maretadu

“Huu ni utaratibu wa chama, na ndio maana kwa siku sita tumekuwa katika hii kazi, tunatoka tunaenda saiti na sio kwamba serikali hatuiamini lakini ni muhimu na sisi tukajionea, kuona ni kuamini, tukaone ilani yetu inayotekelezwa kwa vitendo, Mkuu wa Mkoa naomba nikuhakikishie kwamba, umetupitisha katika Wilaya zako zote kuanzia Kiteto na leo tunaishia hapa Mbulu, kwa sababu ratiba imetimia na tunahitimisha vizuri kabisa, na tunahitimisha hapa Mbulu, sisi wenyewe tumeridhika.” Alisema Mwenyekiti CCM Mkoa, Peter Toima.


Aidha Toima alisema kuwa, wananchi wa Mbulu wanafanya kazi kwa bidii sana,ukienda maeneo mengine huwezi ona hiki kitu lakini ukija Mbulu unaona, mfano ni Maretadu, wananchi wameleta mchanga na mawe wenye thamani ya shilingi milioni kumi, kwahiyo hiki kitu cha mchango wa wananchi tusikipuuze na kiweze kujitokeza kila wakati katika miradi inayotekelezwa.

Daraja lililopo Garkawe kata ya Maretadu

Sambamba na hayo Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga alimuahidi Mwenyekiti wa chama Mkoa kuwa wao kama serikali wataendelea kutekeleza maelekezo ya chama, kwa maana ya kuhakikisha wanatoa miradi mizuri yenye ubora na kunamaliza katika muda unaotakiwa, lakini kikubwa Zaidi thamani ya fedha iliyotoka inakwenda kuonekana katika miradi iliyotekelezeka. Na miradi itakayokuwa na changamoto tutakimbizana nayo.

Kwa upande wa Mwenyekiti wa CCM Wilaya ya Mbulu, Comredi Melkiadi Naari aliwashukuru kamati ya siasa Mkoa kwa kuja kutembelea katika Wilaya ya Mbulu, mana ujio wao ni chachu ya kuamsha maendeleo na maelewano ndani ya Mbulu yetu.Na tumeona chama kimewafanyia mema mengi wana wa Mbulu.

Pia alisisitiza utamaduni wa wananchi na umuhimu wake katika kujitolea katika shughuli za maendeleo hasa vijana. Lakini tunashukuru Mkuu wetu wa Wilaya anaendelea kuamsha utamaduni huu uendelee.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.