• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KATIBU TAWALA MKOA WA MANYARA ATOA VIPAUMBELE VINNE.

Kurushwa hewani: February 2nd, 2024

Na, Ruth Kyelula, Afisa Habari Mbulu DC.

Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara Bi. Maryam Muhaji amewataka watendaji na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, kuzingatia vipaumbele vyake vinne katika utendaji kazi wa shughuli za kila siku za Serikali  

Hayo yalisemwa na Katibu Tawala mkoa wakati wa kikao kifupi na watendaji na wataalamu wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri, Februari 01, 2024.

“Jambo la kwanza ni ukusanyaji wa mapato, la pili mkasimamie vizuri miradi ya serikali na mpambane kuondoa miradi viporo ili miradi iweze kukamilika kwa wakati,la tatu mkajitahidi kutoa huduma bora kwa wananchi, mkatatue kero za wananchi na la nne mkazingatie matumizi bora ya fedha za serikali.” Alisema bi. Maryam.

Katibu Tawala akiongea na wakuu wa Idara wa Mbulu DC

Mbali na hayo Katibu Tawala aliwaasa watumishi wa Mbulu DC kuwa na mahusiano mazuri ya utendaji kazi baina ya mtumishi na mtumishi na kuacha chuki binafsi badala yake wafanye kazi kwa bidii ili kuweza kutatua kero za wananchi.

Katibu Tawala wa Mkoa bi.Maryam Muhaji wa nne kushoto, kulia kwake ni Mkurugenzi wa Mbulu DC, Abubakar Kuuli , wakiwa kwenye picha ya pamoja na wakuu wa idara wa Mbulu Dc.

 Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli, alimshukuru Katibu tawala kwa kutenga muda wake na kuja kujitambulisha kwa wafanyakazi wa Halmashauri na kumuahidi kutekeleza yale yote maelekezo aliyoyatoa katika ziara yake hiyo na aliahidi kumpa uushirikiano katika kipindi chake chote cha uongozi

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.