• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Kikundi cha Tupendane cha furahia mkopo wa Pikipiki toka Halmshauri ya Wilaya Mbulu.

Kurushwa hewani: February 27th, 2023

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ni miongoni wa halmashauri zinazotekeleza agizo la Mhe.Rais kwa kutoa mikopo ya asilimia 40 kwa Wanawake, asilimia 40 kwa Vijana na asilimia 20 kwa Walemavu.

Komredi Heri James Mkuu wa Wilaya ya Mbulu akikabidhi pikipiki kwa Kikundi cha Tupendane cha Labay.

Akikabidhi mkopo wa pikipiki tano kwa kikundi cha Tupendane cha vijana toka kata ya labay, komredi Heri James Mkuu wa Wilaya ya Mbulu ameipongeza halmashauri kwa kuendeleakuteleza ilani ya chama ipasavyo kwa asilimia mia na amewaomba vijana waliopata mkopo huo kuhakikisha wanafanya kazi kwa bidii ili waweze kurejesha mkopo kwa wakati na mwisho wa siku waweze kujiendesha bila kuwa na mkopo.

Viongozi mbalimbali wakiongozwana kamati ya Ulinzi na Usalama ya Wilaya nabaraza la Madiwani wakifurahi kwa pamoja mara baada ya kukabidhi Mkopo wa pikipiki kwa kikundicha tupendane.


Akiongea kwa niaba ya baraza la Madiwani la halmshauri hiyo,Mhe Joseph G. Mandoo amesema wananchi wanaochukua mikopo kuhakikisha kuwa wanakuwa mifano katika jamii kwa kufanya kazi kwa bidii ili waweze kufaidiki na kile wanachokikopa,na pia ametoa wito wananchi wajitokeze kuomba mikopo.

Tumeshatoa mikopo kwa awamu mbalimbalina kwa vikundi mbalimbali ndani ya halmshauri ya Wilaya, na mikopo hii ikiwa ni awamu ya pili tumeweza kuvikopesha vikundi mbalimbali kama vile One Vision toka Dongobesh, Sangamyanda cha Gidhim, Tupendane cha labay na vinginevyo vingi, ameyasema hayo Mkurugenzi Mtendaji ndugu Abubakari Kuuli 


wanakikundi wakiwa tayari kuondoka mara baada ya kukabidhiwa pikipiki zao

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.