• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KITENGO CHA LISHE CHAPEWA BAJETI YA MIL. 56 KWA MWAKA 2024/2025.

Kurushwa hewani: December 18th, 2023

Na Ruth Kyelula, Mbulu DC

Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Moses Nduligu, amesema kuwa wamewapa Kitengo Cha Lishe bajeti ya kuanzia ya shilingi milioni 56 kwa ajili ya shughuli mbalimbali za mambo ya Lishe kwa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ambapo itaweza kuongezeka muda wowote kadiri ya mahitaji .

Hayo yalisemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, wakati wa ufunguzi wa kikao cha kujadili bajeti ya Lishe ya mwaka 2024/25 katika ukumbi mdogo wa Halmashauri, ulipo Dongobesh, December 02,2023.

Aidha kaimu Mkurugenzi amewataka Wakuu wa Vitengo na Idara waweke bajeti ya mambo ya Lishe, kwa sababu Lishe ni kitu cha muhimu na cha lazima kwenye Halmashauri, lazima ionekane kwa Kila Idara imeweka bajeti hiyo.Lakini pia jamii ihamasishwe kuhusu kutumia Lishe kwa mfano ma shuleni, lakini pia iwe ajenda mtambuka iende kwenye vikao vyote vya Taasisi hata vikao vya jamii.

Kwa upande wa Afisa Lishe wa Wilaya Jackline David amesema kuwa, Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imewapatia Kitengo Cha Lishe kiasi Cha milioni 56 kwa ajili ya kutekeleza afua mbalimbali za mambo ya Lishe.


Afisa Lishe alisema kuwa kiwango hicho huwa kinatengwa kulingana na idadi ya watoto chini ya miaka mitano ambao wapo kwenye Halmashauri yetu. Alisema kuwa kwa taifa huwa Kuna kiwango kwamba idadi ya watoto ulionao, Kila mtoto anatakiwa atengewe angalau shilingi Elfu moja.


"Halmashauri yetu imekidhi viwango vya kumpa Kila mtoto shilingi elfu moja na mia mbili, kwa sababu sisi tuna jumla ya watoto 50388, kwahiyo Halmashauri yetu imevuka lengo la Kitaifa, la shilingi elfu moja kwa Kila mtoto tuweweza kumpa elfu moja mia mbili Kila mtoto. Kwahiyo kwa mwaka ujao wa fedha Halmashauri imetenga milioni 56 kwa ajili ya kutekeleza afua za Lishe." Alisema Afisa Lishe.

Afisa Lishe alisistiza wananchi wa Wilaya ya Mbulu wazingatie elimu wanazowapa, maelekezo wanayowapa mfano kwa wazazi wanawaelekeza namna gani ya kuandaa chakula kwa watoto na wawalishe kwa muda gani, lakini pia wanawahimiza wamama wajawazito kuwahi clinic ili waweze kupata huduma za awali ambazo mama mwenye matatizo ya kiafya kuweza kumkinga mama na mtoto, maambukizi yale ya mama na mtoto lakini pia atapatiwa vidonge vya virutubishi vya nyongeza ikiwemo vidonge vya madini chuma ambavyo pia vitamkinga mtoto na matatizo mengine ambayo ni pamoja na mgongo wazi, midomo sungura, mtoto kuzaliwa na ulemavu. Zile wiki kumi na mbili za mwanzo ni muhimu kwa sababu ndio kipindi viungo vya mtoto hutengenezeka.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.