• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

KOMRED KHERI JAMES APONGEZA UWEKEZAJI WA DAYOSISI YA MBULU.

Kurushwa hewani: September 17th, 2023

���MBULU-MANYARA ��� SEPT 17, 2023.  

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Komred Kheri James, amewapongeza viongozi na waumini wa KKKT Mbulu kwa ujenzi wa kitega Uchumi kikubwa na cha kimkakati, kitakacho chochea huduma, biashara na ajira katika wilaya ya Mbulu.      

                   

Komred Kheri James ameyasema hayo mapema leo katika ibada ya Uwekaji wa Jiwe la Msingi na Harambee ya ukamilishaji wa jengo hilo la kitegauchumi, ilio ongozwa na Mkuu wa KKKT Mteule Baba Askofu Dkt.Alex Malasusa ambae pia ni Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mashariki na Pwani.                                       

Akiwasilisha salamu za Serikali, Komred Kheri James ameeleza kuwa mahusiano ya Serikali na madhehebu ya Dini wilayani humo ni mazuri na yamekuwa ni Msingi wa ushirikiano katika sekta ya Elimu, Afya, usimamizi wa maadili na vita dhidi ya ukatili wa kijinsia.             

Kupitia Harambee hiyo ambayo ilijumuisha Wananchi na wadau mbalimbali wa maendeleo Komred Kheri James amekabidhi kiasi cha shilingi 12,500,000/= Kwa niaba ya Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ikiwa ni mchango wake wa kuunga mkono uwekezaji huo mkubwa utakao kuwa kuchochea cha maendeleo na Uchumi wa Mji wa Mbulu.     


Akizungumza baada ya Harambee hiyo, Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Mbulu Baba Askofu Nicholas Nsangenzelu amewashukuru Wananchi na watumishi wote na kipekee Mheshimiwa Rais wetu mpendwa Dkt.Samia Suluhu Hassan kwa kuunga mkono uwekezaji huo muhimu kwa kuchangia pamoja na Wananchi wengine.

 

#KwaPamoja,Tunaijenga Mbulu Yetu

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.