• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MAKADIRIO YA BAJETI YA LISHE KWA MWAKA 2025//26 YAFIKA MIL.68

Kurushwa hewani: December 10th, 2024

MAKADIRIO YA BAJETI YA LISHE KWA MWAKA 2025//26 YAFIKA MIL.68.

Na, Ruth Kyelula, Mbulu DC.

Afisa Lishe wa Wilaya, Jackline David amesema kuwa kwa mwaka ujao wa fedha 2025/26 Kitengo cha Lishe wametengewa milioni 68 na Halmashari kwa ajili ya kutekeleza afua mbali mbali za Lishe kwa kuzingatia vipaumbele mbali mbali vya Halmashauri ikiwemo kupunguza utapia mlo makali na udumavu katika jamii kwa watoto chini ya miaka mitano.


Picha ya pamoja ya wajumbe wa Kikao cha makadirio ya bajeti ya Lishe.

Hayo yalisemwa na Afisa Lishe wa Wilaya, Jackline David, wakati wa kikao cha kupitia makadirio ya bajeti ya mwaka wa fedha 2025/26, yaliyofanyika katika ukumbi wa Halmashauri, Desemba 10, 2024.

“Kitu kikubwa ambacho tumepanga kufanya kwa mwaka ujao ni elimu kwa sana kwenye jamii ili tuweze kukabiliana na matatizo mbalimbali kwa sababu kuna jamii inafuga, inalima lakini hawana uelewa wa nini kifanyike, mtu unakuta ana chakula lakini unakuta ana mtoto ana utapiamlo, lakini ukimuuliza mnalima nini anajibu kila kitu lakini mtoto anampa ugali na maziwa na kwa hali hiyo lazima mtoto apate utapia mlo.” Alisema Afisa Lishe.

Baadhi ya washiriki wa Kikao cha Lishe

Aidha Afisa lishe wamewaomba idara mtambuka wanazofanya nazo kazi, mfano idara ya Kilimo,mifugo, Maendeleo ya jamii, Ustawi na wengine kwenye shughuli zao wanazofanya, waweke kipengele cha Lishe wanapo enda kwenye jamii na kwenye bajeti zao waweke kipengele cha Lishe ili waweze kuipandisha bajeti ya Lishe ya Halmashauri na ili ionekane inatekeleza afua za Lishe.

Afisa lishe amewaomba wataalamu wafanye kazi kwa kushirikiana,lakini pia huko kwenye jamii wanakoenda kutoa elimu, wazingatie elimu wanayopewa .Kwahiyo maelekezo wanayopewa wayazingatie, wayafanyie kazi,wayatekeleze na waachane na Imani potofu za mtoto akipata utapiamlo wanasema kalogwa.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.