• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Makamu wa Rais Mhe. Bi Samia Suluhu ahimiza kuongeza juhudi katika lishe kutokomeza Udumavu Manyara

Kurushwa hewani: November 15th, 2018

 

Mkuu wa Mkoa wa Manyara ndugu Alexander Mnyeti akisoma taarifa ya mkoa wa Manyara mbele ya Mhe. Makamu wa Rais Samia Suluhu katika ziara yake ya kikazi Mkoani manyara 


Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh.Samia Suluhu Hassan ameanza ziara ya kiakzi Mkoani Manyara leo tarehe 14/11/2018 akitokea Mkoani Kiliamnajaro na kupokelewa katika Mji mdogo wa Mirerani Mkoani Manyara.

Akimkaribisha Mkoani Manyara  wakati wa kumpokea Makamu wa Rais katika Mji mdogo wa Mirerani Wilayni Simanjiro Mkuu wa Mkoa wa Manyara Mh.Alexender Mnyeti alisema kuwa  Mkoa wa Manyara  umepata maendeleo katia sekta mbalimbali mbalimbali ikiwemo Kilimo,Miundombinu,Elimu,Madini,Afya,Maji n.k

“Mh.Makamu wa Rais kwa sasa Mkoa wa Manyara unaendelea kuhakikisha dawa na vifaa tiba vinakuwa vya kutosha katika vituo vyote vya kutolea huduma kwani  kwa sasa bajeti ya dawa imeongezeka hadi kufikia asilimia 93.9 yaani kwa kifupi Dawa zinasubiri wagonjwa” Alisema Mh.Mnyeti.

“Mkoa wa Manyara umejenga vituo vya Afya  saba katika Wilaya zote zilizopo katika Mkoa huo na vituo hivyo vinatarajiwa kuanza kutoa huduma kwa wananchi kuanzia tarehe 30 Novemba 2018” Mheshimiwa Mnyeti alisisitiza.

Katika sekta ya Madini Mkuu wa Mkoa wa Manyara alisema kuwa Mkoa umebarikiwa iana mbalimbali ya madini kama Tanzanite,Tsavorite,Toummaline,Rhodolite,Grossulanite,Lolite,Limestone  n.k.

Akizungumzia faida iliyopatikana baada ya kujengwa ukuta katika machimbo ya Mirerani Mkuu wa Mkoa wa Manyara alisema “Mhesimiwa Makamu wa Rais Miezzi kumi kabla ya kujengwa ukuta mapato yalikuwa milioni  400 lakini miazi kumi baada ya ukuta kujengwa mapato ni Bilioni 2.1 hii ina maana mapato yameongezeka kwa asilimi 425”

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu ndugu Hudson Stanley Kamoga( Mwenye koti la Suti la kijivu) pamoja na Mkurugenzi wa Mji wa Mbulu, Bi Anna Mbogo (aliye karibu na afande Uhamiaji) wakisikiliza kwa makini hotuba ya Makamu wa Rais


Akiongea baada ya kupokea ripoti ya Mkoa Makamu wa Rais alisifu juhudi mbalimbali zinazofanywa na Mkoa katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Mkoa wa Manyara.

Pamoja na pongezi hizo lakini pia Makamu wa Rais aliwataka viongozi wa Mkoa wa Manyara kuongeza juhudi katika suala la lishe ili kuondokana na udumavu, vilevile alizitaka mamlaka za serikali za mitaa kufanya juhudi katika kupiga vita juu ya maambukizi ya UKIMWI “Japokuwa Mkoa wa Manyara ni Mkoa wa tatu kutoka mwisho bado juhudi zinahitaji ili kusiwe na maambukizi mapya” Alisistiza Makamu wa Rais.

Ziara ya Makamu wa Rais itaendelea kesho kwa kutembelea Ukuta wa Mirerani, Kufungua Kiwanda cha Graphite na kufanya Mkutano wa hadhara huko Orkesumet Wilaya ya Simanjiro.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.