• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Makulasa FC yapigwa 3 - 0 dhidi ya Airport FC Kurugenzi Cup - Haydom

Kurushwa hewani: May 15th, 2018

Mashindano yanayoendelea kwa kujumuisha timu 10 kwa michezo ya raundi ya kwanza yameendelea kupamba kasi katika mji wa haydom huku timu inayofungwa inafungasha virago na kupisha mashindano hayo.

timu zote zikipeana mikono ya kutakiana kheri kabla yakuanza mchezo

Katika mchezo wa tatu uliopigwa leo 15/03/2018 katika dimba la shule ya msingi uki zikutanisha timu mbili, huku timu inayoundwa na vijana wajasiliamali wa studio au maarufu kama wapiga picha(Makulusa) leo wameambulia patupu mara baada ya kukubali kipigo cha magori 3-0 kutoka kwa wapinzani wao Airpot FC.

mfungaji wa Goli la kwanza la Airport Fc Abubakari akishangilia kwa nguvu

Mchezo huo ulioanza kwa kasi zaidi ambapo iliwachukua dakika 4 ya mchezo Airtop Fc kupata bao kwa njia ya penati kupitia kwa mchezaji Abubakari Mahina jezi namba 02 mgongoni mara baada ya mlinzi kucheza mchezo usiokuwa wa kiungwana katika eneo la hatari,goli hilo lilidumu kwa takribani dakika 45 za kipindi cha kwanza.

Kufuatia makosa yaliyoendelea kufanywa na wachezaji wa timu ya Makulusa fc na kuruhusu kushambuliwa kwa dakika 10 za kipindi cha pili mara tu baada ya kuanza mchezo, timu ya Airpot iliendeleza mashambulizi ya kasi huku wakilisakama goli la wapinzani wao na hatimaye kufanikiwa kupata bao la pili dakika ya 60 ya mchezo huo kupitia mchezaji Emanuel Mallo(02) mara baada ya safu ya ulinzi kutoelewana.

baadhi ya mashabiki waliojitokeza uwanjani wakiwa juu ya miti ilikufurahia kandanda safi iliyokuwa inaendelea

Timu zote ziliendelea na mchezo mnamo dakika ya 20 kipindi cha pili, Makulusa walifanya mabadiliko kwa baadhi ya wachezaji kwa mtoa beki wake wakushoto Regi Naftali na kuingia Yotam Michael, na uku Kulwa Yusuph akitolewa nje na nafasi yake kuchukuliwa na Joseph Siasi. Kwa upande wa wapinzani wao walifanya mabadiliko kwa kutoa wachezaji wawili Eliasi Diyomati na Yuda sulle uku nafasi zao zikichukuliwa na Peter Emanuel na Kasimu Rama.Dakika ya 63 ya mchezo Makulasa walipata penati iliyopigwa na Sulle Gimpa na kuokolewa na mlinda mlango.

benchi la ufundi la Makulusa wakitaaruki mara baada ya mchezaji kukosa penati

Mnamo dakika ya 65 ya mchezo yule yule mfungaji wa bao la pili Emanuel Mallo aliwanyanyua washabiki tena kwa kuandika bao safi la kichwa lililomshinda golikipa na kubaki ameduwa kufuatia pasi safi toka kwa Ibrahim Petro. Mchezo uliendelea kwa kushambuliana na timu ya Makulusa walifanya mabadiliko yakumtoa mlinda mlango wao Yoel Peter na kuingia Fakii Massay.

Dakika ya 78 ya mchezo mchezaji wa timu ya makulusa Shija Charles alizawadiwa kadi ya njano baada ya kumchezea Samwel naftali mchezo usio wakiungwana.

Mchezaji wa Makulusa FC akipatiwa matibabu na Madaktari wetu mara baada ya kuhumia

Mara baada ya dakika 90 kumalizika,timu ya Airpot Fc inaungan na timu ya Dongobesh, Stand United kuelekea nusu fainali uku wakisubiri washindi wa mchezo wa kesho tarehe 16/05/2018 kati ya Young boys dhidi Qashash utakaopigwa saa nane mchana na Rema 100 dhidi ya Rambo utakaochezwa saa 10 jioni.

 mashabiki waliokuwa wamekaa jukwaa kuu wakiendelea kufuatilia mchezo

Mashindano ya Kurugenzi Cup’18 yanendelea katika mji wa haydom ikiwa wiki ya kudhimisha tamasha la Ujasiliamali, Uwajibikaji na Uzalendo litakalo hitimishwa tarehe 20/05/2018 kwa kupewa mada mbalimbali za ujasiliamali toka kwa wabobezi wa masomo hayo.


Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.