• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MATOKEO YA KIDATO CHA SITA YATANGAZWA RASMI LEO

Kurushwa hewani: July 11th, 2019

Baraza la Mitihani la Taifa (Necta) nchini Tanzania leo Alhamisi Julai 11, 2019 limetangaza matokeo ya kidato cha sita ya mwaka 2019

Katika matokeo hayo yaliyotangazwa na Katibu Mtendaji wa Necta mjini Unguja Zanzibar, Dk Charles Msonde amesema ufaulu umeongezeka kutoka asilimia 97.58 mwaka 2018 hadi kufikia asilimia 98.32 mwaka 2019 ikiwa ni sawa na asilimia 0.74.

Dk Msonde amesema mtihani huo uliofanyika kati ya Mei 6 hadi 23 mwaka 2019, watahiniwa 91,298 walisajiliwa wakiwamo wasichana 37,948 sawa na asilimia 41.56 na wavulana 53,350 sawa na asilimia 58.44.

Amesema kati ya watahiniwa waliosajiliwa, watahiniwa wa shule walikuwa 80,216 na watahiniwa wa kujitegemea walikuwa ni 11, 082.

Katibu mtendaji huyo amesema kati ya watahiniwa 91,298 waliosajiliwa kufanya mtihani , watahiniwa 90,001 sawa na asilimia 98.58 walifanya mtihani na watahiniwa 1,297 sawa na asilimia 1.42 hawakufanya mtihani huo kutokana na sababu mbalimbali zikiwemo za ugonjwa na utoro.

Dk Msonde amesema watahiniwa wa shule, kati ya watahiniwa 80,216 waliosajiliwa, watahiniwa 79,770 sawa na asilimia 99,44 walifanya mtihani ambapo wasichana walikuwa 33,883 sawa na asilimia 99.57 na wavulana 45,887 sawa asilimia 99.35. Watahiniwa 446 sawa na asilimia 0.56 hawakufanya mtihani.

Amesema watahiniwa wa kujitegemea kati ya11,082 waliosajiliwa, 10,231 sawa na asilimia 92.32 walifanya mtihani na watahiniwa 851 sawa na asilimia 7.68 hawakufanya.

“Jumla ya watahiniwa 88,069 sawa na asilimia 98.32 ya watahiniwa waliofanya mtihani wamefaulu,” amesema Msonde

Watahiniwa Kumi bora Kitaifa kwa masomo ya Sayansi kuanzia namba moja hadi kumi ni:-

1. Faith Nicholous Matee (St. Marry’s Mazinde Juu-PCB)

2. Herman Pauline Kamugisha (Kisimiri-PCM)

3. Levina Calist Chami (St. Marry Goretti-PCM)

4. Benius Eustace (Mzumbe-PCB)

5. Augostino Issaya Omari (Ilboru-PCB)

6. Satrumin Arbogast Shirima (Temeke-PCB)

7. Khalid Hussein Abdallah (Feza Boys-PCM)

8. Assad Y. Msangi (Feza Boys-PCM)

9. Peter Jovenal Riima (Kibaha-PCM)

10. Augustine J. Kamba (Feza Boys-PCM)

Wanafunzi 10 bora waliofanya vizuri kwa masomo ya Lugha na Sanaa ni:-

1. Victor G. Mtui (Feza Boys-EGM)

2. Paula Nelson Lujwangana (St. Marry’s Mazinde Juu-HKL)

3. Blandina Kessy Nyage (St.Marry’s Mazinde Juu-HGL)

4. Eva J. Shitindi (Machame Girls-HKL)

5. Ruhinda Benedicto Machimu (Geita Adventist-HKL)

6. Anita Zacharia Massawe (St.Marry Mazinde Juu-HKL)

7. Karimu Kassimu Muhibu (Nyangao-HKL)

8. Anold Andrea Msuya (Manyara-HKL)

9. Latifa Mohamed Mrosso (Ahmes-HKL)

10. Eliibariki Desidery Baliyanga (Lukole-HKL)

Waliofanya vizuri Kitaifa kwa masomo ya Biashara ni:-

1. Astone Stevin Ngaeje (Kibaha-ECA)

2. Gift M. Mwakikusi (Tusiime-ECA)

3. Emmanuel P. Chila (Alpha-ECA)

4. Athumani Magadula William (Umbwe-ECA)

5. Stephano Y. Dismas (Kibaha-ECA)

6. Robert John Tano (Scolastika-ECA)

7. Shabani H. Shabani (Kibaha-ECA)

8. Dotee A. Zuberi (Galonos-ECA)

9. Ernest P. Game (Kibaha-ECA)

10. Deogratias Ladislaus Msilinga (Kibaha-ECA)

Katika matokeo hayo Shule Kumi bora zilizoongoza Kitaifa ni:-

1. Kisimiri (Arusha)

2. Feza Boys (Dar es Salaam)

3. Ahmes (Pwani)

4. Mwandet (Arusha)

5. Tabora Boys (Tabora)

6. Kibaha (Pwani)

7. Feza Girls (Dar es Salaam)

8. St. Marry’s Mazinde Juu (Tanga)

9. Canossa (Dar es Salaam)

10. Kemebos (Kagera)

Shule Kumi zilizofanya vibaya Kitaifa ni:-

1. Nyamunga (Mara)

2. Haile Salassie (Mjini Magharibi)

3. Tumekuja (Mjini Magharibi)

4. Bumaangi (Mara)

5. Butuli (Mara)

6. Mpendae (Mjini Magharibi)

7. Eckernford (Tanga)

8. Msimbo (Katavi)

9. Mondo (Dodoma)

10. Kiembe Samaki A (Mjini Magharibi)

Kuangali matokeo yote kwa kila shule bofya hapo chini kwenye hiyo link"MATOKEO YA KIDATO CHA SITA 2019".-  https://matokeo.necta.go.tz/acsee/acsee.htm

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.