• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU DC YAFIKIA ASILIMIA 35 YA UKUSANYAJI WA MAPATO KWA ROBO YA KWANZA

Kurushwa hewani: October 30th, 2024

Na, Ruth Kyelula, Mbulu - DC

Mkuu wa wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy amewataka Madiwani kusimamia mipango mizuri inayopangwa na Halmashauri pamoja na kuwapongeza kwa kuendelea kuongoza katika ukusanyaji wa mapato ya ndani katika Halmashauri zote za mkoa wa Manyara.

Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy akizungumza na Baraza la Madiwani

Hayo yalisemwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Veronica Kessy, wakati akizungumza na Madiwani pamoja na wataalamu katika kikao cha Baraza la Madiwani kwa robo ya kwanza Julai mpaka septemba, kilichofanyika Oktoba 30, 2024 katika ukumbi wa Halmashauri.

“Katika mapato ya ndani hayo ndio tutapata fedha ya uendeshaji wa Halmashauri, lakini humo humo tutoe asilimia arobaini kwenda kupeleka katika miradi kwa mujibu wa maelekezo na taratibu za serikali, lakini pia kama tumekusanya vizuri tujitahidi kudhibiti matumizi ya fedha hizi.” Alisema Mhe. Kessy.

Kamati ya usalama ya wilaya pamoja na wataalamu wakifuatilia Kikao hicho cha Baraza.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Joseph Mandoo amewaasa waheshimiwa Madiwani, wataalamu, watendaji wa kata na vijiji kuwa na jukumu la kuhakikisha fedha zilizoletwa na Mhe. Rais zinatumika kwa wakati na lazima thamani ya fedha ionekane kulingana na majengo yanayojengwa na ubora wa majengo.

Makatibu wa vikao wakifuatilia Baraza.

Aidha amewaomba waheshimiwa Madiwani na wataalam, wafanye kazi kwa kushirikiana kwa karibu na Mkuu wa Wilaya kwa sababu ana uzoefu mkubwa kwenye serikali za mitaa, kwa hiyo wafahamu hilo ili waweze kufanikisha maendeleo ya Halmashauri.

Waheshimiwa Madiwani wakifuatillia kikao cha Baraza

“Niwaombe waheshimiwa Madiwani tuwe mstari wa mbele, mahali mradi unajengwa tusibanduke pale tuangalie nini kinafanyika, tupitie pia na taarifa za manunuzi, tuone kama vifaa vinavyonunuliwa vinaendana na bei ya soko. Tuhakikishe haya yote yanafanyika ili tuweze kufanikisha shughuli za maendeleo kwenye Wilaya yetu na miradi yetu ikamilike kwa wakati.” Alisema Mandoo.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli alisema kuwa kwa upande wa makusanyo ya mapato ya ndani, halmashauri bado inaendelea vizuri.

Mkurugenzi wa Halmashhauri ya Wilaya ya Mbulu akitoa hotuba yake kwenye kikao cha Baraza la Madiwani

“Hata katika hii robo ya kwanza, mpaka tunafika September hadi leo tumefika asilimia takribani 35%, lakini lengo letu lilikuwa kukusanya asilimia 31.8, kwahiyo tumezidi asilimia takribani tatu. Kwahiyo tunaenda vizuri.” Alisema Mkurugenzi Kuuli.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.