• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

Mbulu DC yaigaragaraza Singida Manispaa DC 3-0 bonanza la Watumishi

Kurushwa hewani: June 26th, 2022

Ikiwa ni bonanza la michezo lililowakutanisha watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Mbulu dhidi ya Watumishi wa Manispaa ya Singida mnamo tarehe 25/06/2022 kuanzia saa tatu asbh katika Viwanja vya shule ya Msingi Mwenge Singida Manispaa.

Timu ya Mpira wa Miguu toka Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

Iliwachukuwa ni dk.32 ya mchezo  Mbulu DC kupitia kwa mshambuliaji wao machachali James Mbinga(muuguzi kituo cha afya dongobesh) Kupachika bao la kwanza baada ya kupokea krosi safi toka kwa ndugu John(mwalimu) winga wa kushoto kupeleka mashambulizi katika lango la wapinzani,

Katika bonanza hilo michezo mbalimbali iliweza kufanyika ikiwa ni pamoja na kuvuta Kamba,kuogelea na mpira wa miguu, miongoni mwa michezo ulioweza kuvuta na kupamba bonanza ilikuwa ni Mpira wa Miguu kwani ulikuwa na upinzani sana toka pande zote mbili licha ya Singida manispaa kuambulia kichapo cha mabao matatu(3) kwa yai(0) toka kwa wapinzani wao ambao ni watumishi wa halmashauri ya Wilaya ya Mbulu.

Baadhi ya Wachezaji wa Timu yakuogelea wakiendelea kufanya mazoezi mepesi kabla ya mashindano

Mnamo dk.62 ya mchezo kipindi cha pili cha mchezo ni yule yule kijana mwenye uwezo mkubwa wa kucheka na nyavu bwana James Mbinga aliwainua tena mashabiki wa Mbulu DC baada ya kupigwa faulu moja iliyochongwa na mlinzi wa kulia anaye panda na kushuka kama Zimbwe ndugu Florence Hayuma (IT) na kutua kichwani kwa James kisha kumuacha mlinda mlango wa Singida manispaa akiokota nyavu.

Daktari wa timu Chris kope toka Mbulu DC akiendelea kufulai jambo baada ya kuona wachezaji wake hakuna majeruhi

Mchezo huo uliendelea kwa kasi sana katika lango la Wapinzani licha ya timu zote mbili kufanya nabadiliko ya hapa na pale, lakini ilikuwa ni dk. 82,ya straika wa mbulu DC bwana Abduli kufanyiwa faulu katika eneo la penati na mwamuzi kuamuru kupigwa penati, alikuwa ni mfamasia toka dongobesh ndugu Menjo Diyamet aliyepiga kwa usatadi na hatimaye kuitimisha kalamu ya magoli.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu imekuwa na utamaduni wa kufanya mabonanza mbalimbali ya michezo katika halmashauri mbalimbali hii ikiwa ni sehemu ya kuimarisha afya za wachezaji na kubadilisha mawazo mbalimbali katika utendaji wa kazi.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YAADHIMISHA SIKU YA WAUGUZI DUNIANI.

    May 16, 2025
  • KAMATI LISHE YAKAA KIKAO CHA TATHIMINI YA HALI YA LISHE KWA ROBO YA TATU

    May 08, 2025
  • MADIWANI WAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA MIRADI KATIKA KATA ZAO

    April 29, 2025
  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.