• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

Kurushwa hewani: February 13th, 2025

Na Ruth Kyelula, Mbulu DC.

Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, imekabidhi jumla ya pikipiki 16 za mikopo ya asilimia 10 kwa vikundi vitatu vya vijana, zenye thamani ya jumla ya shilingi milioni 45,935,000/= ili kuwawezesha vijana hao kujikwamua kiuchumi.

Akikabidhi pikipiki hizo February 13,2025, katika jengo la Halmashauri, Mkuu wa Wilaya ya Mbulu, Michael Semindu, amewataka vijana wanufaika wa mikopo hiyo waweze kurejesha kwa wakati ili vijana wengine waweze kunufaika na mikopo hiyo ya asilimia kumi ya Halmashauri.

Kwa upande wa Mbunge wa Mbulu vijijini, Mhe. Flatei Massay, ametoa msisitizo kwa vijana na wanawake kujitokeza katika fursa mbalimbali zinazojitokeza ili waweze kunufaika na kujikwamua kiuchumi na kuleta maendeleo katika jamii zao.

Baadhi ya Wajasiriamali wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, wakiwa na vitambulisho vyao walivyopewa na Halmashauri.

Naye Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Joseph Mandoo amesema kuwa vijana waliopata mkopo wakumbuke kurudisha mikopo yao kwa wakati ili wengine waweze kupata mikopo hiyo.

“Sisi Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu tunaendelea kushirikiana na wataalamu pamoja na Madiwani kuendelea kutimiza wajibu wetu wa kuhakikisha wananchi wanapata huduma mbalimbali, Halmashauri yetu iliendelea kushika nafasi ya kwanza kwa miaka mitatu mfululizo kwa ukusanyaji wa mapato ya ndani, na matokeo haya ndio yaliyotuleta hapa leo, ambapo imetuwezesha kutoa mikopo zaidi ya milioni 594, ambapo kwa sasa tumetoa mikopo ya milioni 204 ikiwemo hizi pikipiki,mikopo ya kinamama na vijana pamoja na watu wenye ulemavu.” Alisema Mhe. Mandoo.

Aidha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli amesema mikopo hiyo ya asilimia 10 itaendelea kutolewa kwa makundi hayo ya vijana pamoja na wanawake, hivyo ni vema ikarudishwa kwa wakati.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu, Abubakar Kuuli, akizungumza na waliopata fursa ya mkopo wakati wa ugawaji wa pikipiki 16.

Baadhi ya vijana walionufaika na mkopo huo ambao ni kati ya shilingi 204,635,000 zilizokopeshwa na Halmashauri, wameishukuru serikali kwa fursa ya mikopo isiyo na riba, ambayo itawakomboa kiuchumi.

Katika hatua nyingine Halmashauri imekabidhi jumla ya vitambulisho vya utambuzi kwa wajasiriamali 52, kwa awamu ya kwanza.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.