• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU DC YATOA VYETI VYA PONGEZI KWA VIJANA WA HAMASA WA MWENGE WA UHURU 2025

Kurushwa hewani: July 31st, 2025

Na, Magreth Mbawala, Mbulu DC.


Mkuu wa Wilaya ya Mbulu Mhe.Michael Semindu leo Julai 31,2025 amekabidhi vyeti vya pongezi kwa vijana 130 wa hamasa walioshiriki katika mapokezi na kuukimbiza Mwenge wa Uhuru 2025.


Hayo yamefanyika mapema leo katika viwanja vya Haydom huku zoezi hilo likiwa limetanguliwa na Jogging,usafi wa mazingira Kituo cha polisi na stendi ya zamani,kugawa vyeti na mwisho kushiriki chai ya pamoja.


“Nawaahidi nyinyi nyote mtakwenda Mkoani Mbeya mwezi Oktoba kwenda kuzima Mwenge wa Uhuru,hivyo mjiandae vema”.alisema Mhe.Semindu.


Naye Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Ndugu Abubakar Kuuli, aliwapongeza sana hamasa kwa ushiriki mzuri kwenye Mwenge wa Uhuru na kuwaambia kuwa wanawahitaji sana kwenye matukio mengi na sio Mwenge tu hivyo waendelee na mazoezi wasikae tu.


Aidha,Mratibu wa Mwenge wa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu Bw. Edes Melly alisema wametoa vyeti hivyo vya pongezi kama motisha kwa vijana na pia kutii agizo la mkimbiza Mwenge kitaifa Ndugu Ismail Ally Ussi kuwa juhudi za vijana wa hamasa zitambulike.

Matangazo

  • TANGAZO LA KUITWA KWENYE SEMINA WASIMAMIZI WA UCHAGUZI October 20, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • DC SEMINDU ATAKA KASI NA UWAJIBIKAJI KATIKA MIRADI

    November 24, 2025
  • LAGANGESH WANUFAIKA NA ELIMU YA AFYA, LISHE NA MAGONJWA YASIYO YA KUAMBUKIZA

    November 12, 2025
  • DC SEMINDU AWATAKA WATAALAMU MBULU DC KUENDELEA KUWAJIBIKA KATIKA MAJUKUMU YAO.

    November 18, 2025
  • WANANCHI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU WAASWA KUTOKOMEZA UKATILI WA KIJINSIA

    October 08, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.