• Mlalamikaji |
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara |
    • Barua pepe za Watumishi |
Mbulu District Council
Mbulu District Council

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Raisi Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Mbulu

  • Mwanzo
  • Kuhusu sisi
    • Historia
    • Dira na Dhamira
    • Muundo wa Taasisi
    • Orodha ya Wakurugenzi
  • Utawala
    • Idara
      • Idara ya utumishi na mahusiano
      • Mipango, Takwimu na Uangalizi
      • Idara ya Fedha
      • Elimu na Utamaduni
      • Afya
      • Kilimo.Umwagiliaji na Ushirika
      • Maendeleo ya Jamii
      • Mazingira na uthibiti wa taka ngumu
      • Uvuvi na Ufugaji
      • Idara ya Ujenzi na Zimamotto
        • Moto
      • Idara ya Maji
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Uchaguzi
      • Ukaguzi wa Ndani
      • Ugavi na Manunuzi
      • Sheria
      • Goverment Communication
  • Machapisho
    • Fomu za Maombi
    • Taarifa
    • Miongozo
    • Sheria
    • Sheria ndogo za Halmashauri
  • Kituo cha Habari
    • Maktaba ya Picha
    • Picha Jongefu
    • Taarifa kwa Umma
    • Hotuba
  • Miradi
    • Miradi iliyopitishwa
    • Miradi inayoendela
    • Miradi iliyokamilika
  • Madiwani
    • Orodha ya Waheshimiwa Madiwani
      • Dinamu
    • Kamati za Kudumu
      • Kamati ya Fedha
      • Kamati ya Huduma za Uchumi
      • Kamati ya Ardhi
      • Kamati ya ALAT
      • Kamati ya Huduma za Jamii
      • Kamati ya Maadili
      • Kamati ya Ukimwi
    • Ratiba za Vikao
  • Fursa za uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Sekta ya Viwanda
    • Sekta ya Kilimo
  • Huduma Zetu
    • Huduma za Afya
    • Huduma za Kilimo
    • Huduma za Elimu

MBULU YAVUNA MAMILIONI KWA BIASHARA YA HEWA YA UKAA.

Kurushwa hewani: November 14th, 2023

Mkuu wa wilaya ya Mbulu Komred Kheri James

Mkuu wa wilaya ya Mbulu Komred Kheri James mapema leo ameungana na Mkuu wa wilaya ya Kiteto, kupokea fedha kiasi cha Shilingi Bilioni 4,740,700,000.00 ikiwa ni faida ya biashara ya hewa ya ukaa inayofanyika kwa uhifadhi wa misitu na mazingira chini ya Usimamizi wa Taasisi ya Carbon Tanzania.   

                   Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Dkt. Suleiman Jafo

Akizungumza katika hafla hiyo maalumu ya kukabidhi hundi, Mheshimiwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mazingira na Muungano Dkt. Suleiman Jafo ameupongeza uongozi wa Mkoa wa Manyara na Wilaya ya Mbulu na Kiteto kwa kusimamia kikamilifu mpango huo ambao umesaidia kubadilisha maisha ya jamii, umechochea utunzaji wa mazingira na umeharakisha huduma kwa Wananchi katika Vijiji vinavyo endesha mpango huo.  

                                        

Biashara ya Hewa ya ukaa inafanyika wilayani Mbulu katika Halimashauri ya wilaya ya Mbulu, Ikihusisha jamii ya Wahadzabe katikaKata ya Yaeda chini, Maeneo ya Mongo wa Mono, Domanga, Yaeda chini na Heshkesh.                 

Kupitia biashara hii Wananchi wameweza kutunza na kulinda hifadhi kwa hiyari, Wameweza kujipangia maendeleo yao na kujenga miradi ya huduma, pamoja na kuimarisha Uchumi wao.       

Mkuu wa wilaya ya Mbulu Komred Kheri James ameipongeza Carbon Tanzania kwa kazi kubwa wanayo endelea kuifanya kwa kushirikiana na Wananchi, na amewaahidi ushirikiano zaidi ili kuongeza tija na ustawi wa watu na mradi kwa ujumla. 

                                    

Hafla hiyo maalumu Imehudhuriwa pia na Mheshimiwa Queen Sendiga Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Waheshimiwa Madiwani, Wenyeviti wa vijiji na Wananchi wanao ishi katika vijiji vinavyo nufaika na mradi.                      

 

 #Kwapamoja, Tunaijenga Mbulu yetu.

Matangazo

  • Tangazo la fursa za mafunzo ya ufundi stadi awamu ya saba February 01, 2025
  • TANGAZO LA ZABUNI YA UCHIMBAJI VISIMA January 29, 2019
  • JINSI YA KUTOA/KUTUMA MALALAMIKO KWA NJIA YA MTANDO HALMSHAURI YA WILAYA YA MBULU. March 23, 2019
  • KARIBU MWENGE WA UHURU HALMASHAURI YA WILAYA YA MBULU 2021 June 10, 2021
  • Tazama zote

Habari za hivi Punde

  • MBULU DC YATOA SADAKA KITUO CHA AFYA DONGOBESH.

    January 30, 2025
  • MBULU DC YAKWAMUA VIKUNDI VYA VIJANA KIUCHUMI

    February 13, 2025
  • MKUTANO WA BARAZA LA MADIWANI LAPITISHA BAJETI YA BILIONI 38.7 KWA MWAKA WA FEDHA 2025/2026

    February 13, 2025
  • BARAZA LA MADIWANI LAHIMIZA WANAFUNZI WARIPOTI SHULENI

    January 31, 2025
  • Tazama zote

Picha Jongefu

MBULU DC KUKUSANYA ZAIDI YA MIL.90 KATIKA MSIMU MPYA WA UVUVI KUTOKA BWAWA LA BONDELA YAEDA CHINI
Video za Ziada

Viunganishi ya Haraka

  • Facility Financial Accounting and Reporting System(FFARS)
  • Log in PlanRep System
  • PlanRep Documents
  • FFARS USER GUIDE
  • MANYARA REGIONAL WEBSITE
  • UTUMISHI PORTAL

link tunazolandana

  • TOVUTI YA IKULU
  • MFUMO WA VIBALI YA KUSAFIRI NJE (LIVE)
  • TOVUTI YA UTUMISHI
  • TOVUTI YA TAMISEMI
  • BARAZA LA MTIHANI LA TAIFA TANZANIA
  • TOVUTI YA HABARI MAELEZO

Watembeleaji wa Kimataifa

world map hits counter

Idadi ya Watembeleaji

free HitCounter

Uelekeo wa Ramani

Wasiliana nasi

    Mbulu district Coucil

    Anuani: P.O.BOX 74

    Simu ya mezani: +255743583078

    Simu: +255716992222

    Barua pepe: md@mbuludc.go.tz

Mawasiliano mengine

   

    • Sera za Awali
    • Kanusho
    • Maswali yanaolizwa Mara kwa Mara
    • Ramani ya Tovuti
    • Huduma

Copyright ©2018 Mbulu District Council . All rights reserved.